Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

casibom giriş

pokerklas

royalbet

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

galabet

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

casibom

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

güvenilir casino siteleri

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino giriş

zirvebet

mislibet giriş

imajbet

jojobet

nerobet

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

caddebet

jojobet

jojobet

holiganbet

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli

tipobet

mislibet

jojobet adres

casibom

realbahis

ikimisli

queenbet

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

jojobet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

caddebet, caddebet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

monobahis, monobahis giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

roketbet

cratosroyalbet

ligobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet giriş

perabet

ilbet

deneme bonusu

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

caddebet, caddebet giriş

google

piabet

tophillbet

marsbahis

atlasbet

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

betflix giriş

betflix

betturkey

casinoroyal

mercurecasino

sonbahis

esbet

betplay

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

ikimisli

queenbet

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom giriş

casibom

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

goldenbahis

holiganbet

galabet

holiganbet

mislibet

casibom

betbey

Hacklink panel

betturkey

jojobet

google giir

jojobet

madridbet

realbahis

casibom giriş

royalbet

jojobet giriş

royalbet

casibom giriş

casibom giriş

casibom

merit

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

timebet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

atlasbet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

casibom

vdcasino

mislibet giriş

hitbet

galabet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

monobahis, monobahis giriş

betine

jojobet

betvole

betvole

betkolik

betkolik

betplay

betplay

aresbet

aresbet

alfabahis

alfabahis

gobahis

gobahis

livebahis

livebahis

atlasbet

atlasbet

ultrabet

ultrabet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

coinbar

coinbar

elitcasino

elitcasino

bahisfair

bahisfair

gonebet

gonebet

betovis

betovis

golegol

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

jestbahis, jestbahis giriş

deneme bonusu

Featured Michezo

CDF JENERALI MABEYO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA UWANJA WA GOFU,HOTELI YA NYOTA TANO NA KITUO CHA MICHEZO IHUMWA DODOMA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo,akipata maelezo mradi wa ujenzi kutoka kwa Msimamizi wa Mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hotel ya nyota tano na kituo cha michezo Meja Amanzi Mandengula wakati wa hafla ya kuweka jiwe la Msingi katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo,akikata utepe kuashiria  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo wakati wa hafla ya kuweka jiwe la Msingi katika ujenzi huo eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo,akiweka jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo,akiendelea kukagua mradi wa  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo,akicheza mchezo wa Gofu kuashiria uzinduzi wa Mradi wa  wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo,akizungumza wakati wa hafla ya kuweka jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo ambaye pia ni Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la kujenga taifa JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akitoa taarifa ya mradi wa Ujenzi wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara,akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Gofu Club ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo,akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Tanzania  Gofu Union  (TGU) Chris Martin ,akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

SEHEMU ya Makamanda wa Jeshi la Wananchi wakifatilia hotuba ya Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo (hayupo pichani),akizungumza wakati wa hafla ya kuweka jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuweka  jiwe la Msingi  ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hoteli ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa katika eneo la Jeshi Ihumwa leo Juni 28,2022 Jijini Dodoma.

……………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

Mkuu wa Majeshi ya ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo ameweka jiwe la Msingi katika ujenzi wa Uwanja wa Gofu, Hotel ya nyota tano na kituo cha michezo vinavyojengwa  katika eneo la Jeshi Ihumwa Jijini Dodoma.

Akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la msingi Jenerali Mabeyo,amesema kuanza kwa ujenzi katika eneo hilo ni hatua nzuri katika kuimarisha mchezo wa Gofu  nchini na kufungua fursa nyingi za kimichezo.

Jenerali Mabeyo amesema kuwa uwanja huo ni wa kwanza kujenga jijini Dodoma lakini ni wa  pili wa mchezo wa Gofu kujengwa na Jeshi hilo hapa nchini,ambapo wa kwanza ni ule wa Gofu uliopo Lugalo mkoani Dar es Salaam.

“Huu ni mwanzo mzuri katika kuimarisha mchezo huo hapa nchini ambapo mchezo huo umeanza kuwa maarufu sana na tumeanza na uwanja huu lakini lengo letu ni kujenga viwanja kama hivi nchini nzima ili kusisimua hamasa ya mchezo huo” Amesema Jenerali Mabeyo.

Amesema kuwa  lengo la kujenga viwanja vya michezo ni pamoja na kuisapoti serikali katika kuendeleza michezo hapa nchini,ili watanzania wazidi kuipenda michezo pamoja na kupanua wigo wa kushiriki mashindano ya kimataifa.

“Naomba niipongeze kamati ya Ujenzi wa uwanja huu iliochini ya Mwenyekiti Brigedia Hassan Mabena imefanya kazi nzuri ya ubunifu wa uwanja huo,”amesema Jeerali Mabeyo.

Amesema michezo ina umuhimu mkubwa kwa rika zote kiafya hivyo kukamilika kwa uwanja huo utasaidia watu kukusanyika katika eneo hilo na kupata burudani huku jeshi likiingiza kipato na kusaidia kuinua uchumi wa jeshi.

Hata hivyo amewatakaMajenerali na Maofisa wa Jeshi hilo kujifunza kucheza mchezo wa Gofu na michezo mingine ili wapatapo muda wa kushiriki mashindano ya nje wajitokeze kwa wingi kama wanavyofanya wanamichezo wengine.

“Kuna mashindano ya ngazi mbalimbali Jeshini,hivyo wakijifunza michezo itasaidia kutoa ushindano pindi mashindano yanapotokea,”almesema Jenerali Mabeyo.

“Nimefurahishwa na  kituo hiki kitakuwa pia na academy kwa mchezo wa Gofu hii naimani itasaidia sana kukuza mchezo huo hapa nchini na itakuwa nchi ya tatu kwa kuwa na academy” Amesema.

Akizungumzia ujenzi wa kituo cha michezo mingine katika eneo hilo ambalo litakuwa na viwanja vya michezo  mbalimbali pamoja na ujenzi wa hoteli kubwa yenye hadhi ya nyota tano.

Jenerali Mabeyo amesema  kuwa ujenzi wa miundombinu hiyo utasaidia kuongeza uchumi katika jiji la Dodoma kwani itatoa ajira za moja kwa moja na za muda.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo ambaye pia ni Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la kujenga taifa JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena amesema eneo hilo lina ukubwa wa ekari 523 ambapo maandalizi yameanza ambapo mbali na ujenzi wa uwanja wa Gofu vitajengwa viwanja vya vingine mbalimbali ikiwamo Hoteli kubwa yenye hadhi ya nyota tano.

Brigedia Jenerali Mabena,amesema kuwa ujenzi wa kituo hicho cha michezo utagharimu zaidi ya bilioni 59 na kukamilika kwa ujenzi wa kituo hicho  utainua hadhi ya makao makuu ya nchini na kupitia kituo hicho kitawaongezea mapato kupitia fedha za viingilio na ada.

Aidha ametaja baadhi ya viwanja vitakavyojengwa katika kituo hicho ni Uwanja mkubwa wa Gofu, uwanja wa mpira wa Miguu wenye uwezo wa kuchukua watazamaji elfu kumi(10,000), uwanja wa Tenis, Mpira wa Kikapu, Bwawa kubwa la kuogelea lenye hadhi ya Olimpiki na kituo cha michezo ya watoto.

Nae Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara,amesema kuwa yalikuwa ni matamanio yake ya muda mrefu ya kuwa na uwanja mkubwa wa gofu Dodoma na kila kanda ili kuinua ari ya mchezo huo nchini.

“Namshukuru Jenerali Venance Mabeyo alituahidi kuwa lazima ataanza uwanja wa Gofu na ametimiza ahadi yake na sasa uwanja huo unaanza kujengwa ambao utakuwa ni hazina kubwa katika kukuza mchezo huo h nchini” Amesema Jenerali Waitara.

Aidha amewaasa watanzania kutoogopa mchezo huo kwani hauna gharama kubwa kama watu wanavyoongea na kubainisha kuwa katika kituo hicho cha michezo itakuwa kama chuo cha mchezo wa Gofu nchini.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Tanzania  Gofu Union  (TGU) Chris Martin ,amelishukuru Jeshi hilo kwa kusapoti michezo hapa nchini,hususani mchezo wa Gofu kwa kuendelea kujenga viwanja vya mchezo huo na michezo migine.

About the author

Alex Sonna