slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

slot siteleri

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

Piabet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

Uncategorized

TANZANIA KUWA KITOVU CHA SEKTA YA POSTA BARANI AFRIKA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Posta wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bi Caroline Kanuti (mwenye miwani) akizungumza kuhusu ujenzi wa Makao Makuu ya PAPU jijini Arusha na manufaa yake kwa sekta ya posta nchini kwa baadhi ya watumishi wa Wizara hiyo wakati walipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, Juni 8 jijini Arusha.

Msimamizi wa ujenzi wa jengo la ofisi za PAPU, Arusha, Mhandisi Hanington akizungumza na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, wakati walipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya PAPU, Juni 8 jijini Arusha

Katibu Mkuu Mtendaji wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU), Bwana Sifundo Chief Moyo akizungumza na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, wakati walipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya PAPU, Juni 8 jijini Arusha.

Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakimsikiliza Katibu Mkuu Mtendaji wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU), Bwana Sifundo Chief Moyo walipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya PAPU, Juni 8 jijini Arusha.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Rodney Thadeus akizungumza wakati watumishi wa Wizara hiyo ilipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, Juni 8 jijini Arusha.

Matukio mbalimbali katika picha wakati watumishi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari walipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika unaofanyika jijini Arusha.

…………………………………………….

Na Mwandishi Wetu, ARUSHA

Ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU) lenye ghorofa 18 kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 39, jijini Arusha inadhihirisha kuwa Tanzania inastahili kuwa makao makuu ya umoja huo na kuwa kitovu cha Sekta ya Posta kwa Bara la Afrika

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Posta wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bi Caroline Kanuti alipozungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara hiyo waliofika kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo siku ya jumatano ya Juni 8, 2022, jijini Arusha

Bi. Kanuti amesema kuwa kufanikisha ujenzi wa Makao Makuu ya PAPU jijini Arusha ni fahari kwa nchi ya Tanzania kwa kuwa imedhihirisha inastahili na ina sifa ya kuwa mwenyeji wa makao makuu ya umoja huo lakini pia itaifanya nchi ya Tanzania kuwa kitovu cha shughuli zote za Sekta ya Posta Barani Afrika

Ameongeza kuwa asilimia 60 ya gharama za ujenzi wa jengo hilo zinatoka kwa nchi 45 wanachama wa PAPU na Tanzania ikiwemo, na asilimia 40 ya gharama za ujenzi huo zinatoka Serikalini kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambayo ndio msimamizi wa Sekta ya Posta nchini

“Jengo hili ni ofisi lakini pia ni kitega uchumi cha nchi wanachama wa PAPU, na faida itakayopatikana itagawanywa kulingana na makubaliano yaliyoingiwa na umoja huo ambapo asilimia 60 itaenda kwa PAPU na asilimia 40 kwa Serikali ya Tanzania”, amezungumza Kanuti

Msimamizi wa ujenzi wa jengo la ofisi za PAPU, Arusha, Mhandisi Hanington Kagiraki amesema jengo hilo linajengwa kisasa na kwa ubora wa hali ya juu ambapo mpaka sasa ujenzi umefikia asilimia 70 na matumizi ya rasilimali fedha ni asilimia 51

Ameongeza kuwa, matumizi ya jengo hilo mbali na ofisi za PAPU, kutakuwa na ofisi ya TCRA Kanda ya Kaskazini, ofisi ya Shirika la Posta Tanzania, kumbi za mikutano, ofisi za kukodisha, sehemu ya kulia chakula (restaurants), sehemu maalumu kwa ajili ya chakula cha Kiswahili na juu kabisa ghorofa ya 18 litakuwa ni eneo la watalii kutazama vivutio vya jiji la Arusha

Naye Katibu Mkuu Mtendaji wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU), Bwana Sifundo Chief Moyo amesema kuwa nchi ya Tanzania inatakiwa kuona fahari kuwa mwenyeji na mwanachama wa umoja huo na yeye binafsi anafurahia uwepo wa Makao Makuu ya Umoja huo nchini kwa kuwa nchi ya Tanzania imedhihirisha kuwa kituo cha Jumuiya nyingi za kiafrika

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO wa Wizara hiyo, Rodney Thadeus, amesema kuwa kuna faida nyingi zitapatikana kwa nchi ya Tanzania kuwa mwenyeji wa taasisi kubwa barani Afrika kwa kufungua fursa za ajira na kukuza uchumi wa jiji la Arusha na nchi kwa ujumla kupitia mikutano ya kimataifa na shughuli nyingine za kiuchumi zitakazofanyika katika jengo hilo

About the author

Alex Sonna