marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU:’KILIMO CHA UMWAGILIAJI KITALETA TIJA’

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akizungumza bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya kilimo kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

……………………………………

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,ameomba mambo mawili katika kuboresha kilimo ikiwemo kuweka mkazo kwenye kilimo cha umwagiliaji na upatikanaji wa mbegu ya asili nchini.

Aidha,ameomba ujenzi wa mabwawa ili kusaidia wakulima wa Kata ya Kikio,Issuna ,Mang’onyi ,Misughaa na Dung’unyi kuweza kufanya kilimo cha umwagiliaji.

Mtaturu ametoa maombi hayo Mei 17,bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya kilimo kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Amesema amefurahi katika bajeti ya mwaka huu Shilingi Bilioni 51 zimetengwa kutoka Shilingi Bilioni 17.7 zilizotengwa mwaka wa fedha wa 2021/2022, ambazo zitaenda kuleta mapinduzi makubwa katika kilimo cha umwagiliaji.

“Ombi langu kama ulivyosema huko nyuma kwamba tutajitahidi kuhakikisha tume ya umwagiliaji inakwenda kwenye halmashauri zetu kule ndipo ambapo kuna mahitaji,hivyo ni vizuri likitekelezwa hili kwa kuwa wakiwa jirani wataweza kusimamia vizuri sana,”amesema.

Amesema wamekuwa na afisa kilimo ambaye anashughulika na mambo ya ugani lakini suala la umwagiliaji linaonekana kama ni la wizara ya maji hivyo ni vyema kuweka watu ambao watakuwepo muda wote wanaamka na kulala pale pale.

Ameongeza kuwa kupitia bajeti hiyo wakijipanga vizuri wanaweza kubadilisha sana kilimo cha kutegemea mvua ambacho kimeonekana kutokuwa na tija.

“Nyinyi ni mashahidi,mwaka huu tulijitahidi kupeleka mbegu na nikupongeze sana katika eneo hili tulipeleka mbegu za kutosha kama alizeti lakini mkoa wa Singida na Dodoma mvua zimekuwa chache maana yake jitihada zetu zimeenda kugonga mwamba, lakini tungekuwa na maji ya kutosha,tungekuwa na skimu za umwagiliaji za kutosha leo hii ile mbegu ambayo tumeipanda kama kule isingepotea,”ameongeza.

Amesema katika Jimbo la Singida Mashariki aliongelea skimu ya umwagiliaji ya Mang’onyi na anaishukuru wizara ilikubali kupeleka Milioni 700 ambayo itaenda kusaidia sana skimu ile iweze kuanza kazi.

“Wananchi wa Mang’onyi wanatusibiria kwa hamu lakini kama hiyo haitoshi kwenye ule mgodi wa madini ambao unaenda kufunguliwa hivi karibuni wapo tayari kununua mbogamboga kutoka kwenye mashamba ya wakulima wale ,hapa maana yake soko litakuwepo na hiyo skimu italipa ,”amesisitiza.

MBEGU.

Akizungumzia suala la mbegu ameomba kupewa kipaumbele ili ziwafikie wakulima kwa wakati na kuweza kupata tija.

“Mbegu ni roho ya kilimo, tukiwa na mbegu nzuri itasaidia kuleta mazao mengi na uzalishaji utaongezeka maana hata mnyororo wa thamani utakuwa umepatikana kwa kiasi kikubwa, kwa hiyo niombe sana kuna suala ambalo tumelizungumza huko nyuma tuwe na mbegu zetu za asili na tuzilinde,

“Waziri anajua namna ambavyo GMO tumekuwa tukizitumia zaidi lakin kuna mahali ambapo tukitegemea uzalishaji wa mbegu za nje ndio tutakuja siku moja kujikuta hatuna mbegu zetu hivyo hatutakuwa salama,,na tutakuwa watumwa wa mbegu za nje,lakini tunao wenzetu wa ASA ambao ndio wakala wa mbegu nchini ,”ameongeza.

Amewashukuru viongozi wa wizara kwa kazi kubwa wanayoifanya katikak uhakikisha wanamuinua mkulima.

“Mh Waziri Bashe kwenye Taifa unafanya kazi nzuri sana na unatuheshimisha ,kama kijana wa kitanzania unaonekana waziwazi wewe ni mzalendo wa kweli na hakika Rais hakukosea kukuteua na kukuweka kwenye wizara hii,hongera sana na wabunge tunakuhakikishia kuwa tutaendelea kuwaunga mkono,

“Naibu Waziri Mavunde unafanya kazi nzuri ya kumsaidia waziri na timu yenu inaonekana wazi mnaenda kufunga magoli ambayo ni ya kuboresha kilimo nchini,pongezi kwa Katibu Mkuu na watendaji wote kwa namna mlivyojipanga kukileta kilimo kiwe chenye manufaa kwa watanzania,”ametoa pongezi,

Amesema hata ongezeko la bajeti katika mwaka huu 2022/2023, ya Shilingi Bilioni 751 kutoka Shilingi Bilioni 234 ni uamuzi mkubwa na dhamira ya dhati ya serikali ya awamu ya sita katika kuwekeza kwenye kilimo nchini,nampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi huo na wizara kwa kupeleka mapendekezo yaliyopelekea uwepo wa ongezeko hilo.

“Tunakupongeza Waziri Bashe huu ni mwanzo mzuri, tumekuwa tukilalamika bajeti ni ndogo lakini kwa bajeti hii inaweza kuwa na nafasi nzuri yak uanzia katika kuboresha kilimo chetu,”amesema .

About the author

Alex Sonna