slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

slot siteleri

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

Piabet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

MAVUNDE AFUNGUA KONGAMANO LA PILI LA TAFITI ZA USHIRIKA DODOMA

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde,akizungumza wakati akifungua  kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson  Ndiege,akielezea umuhimu wa kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia mada mbalimbali wakati wa ufunguzi wa  kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

………………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

NAIBU Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde,amezindua kongamano la pili la Tafiti za Ushirika huku akiwataka viongozi wa vyama vya Ushirika nchini kuhakikisha ushirika unakuwa fursa badala ya  kuzalisha migogoro.

Akizungumza leo Mei 12,2022 jijini Dodoma wakati akifungua Kongamano la pili la Tafiti za Ushirika,Mavunde amesema kuwa,Ushirika ni eneo ambalo likitumika vyema linaweza kuisaidia nchi hata kutatua changamoto iliyopo nchini ya uhaba wa mafuta ya kula.

Kongamano hilo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali.

Mavunde amesema,sheria ya ushirika inatoa fursa kukabili changamoto nyingi hapa nchini ikiwemo katika kuzalisha mafuta ya kula.

Kwa mujibu wa Mvunde Serikali inatumia shilingi bilioni 474 kuagiza mafuta nje ya nchi huku akisema,lazima ushirika uwe sehemu ya utatuzi wa changamoto hii .

“Katika makongamano haya lazima muungalie ushirika katika picha tofauti ,maana huko zipo fursa za uwekezaji ,hakuna sababu ya kuzalisha migogoro kwenye ushirika ,tunataka ushirika uzalishe utajiri,

“Haipendezi kila siku kusikia kwenye ushirika ,hali hiyo lazima ikome..,kwenye ushirika kunanyooshewa vidole kwa uovu ,lazima tuutoe ushirika huko .”alisema Mavunde

Amewataka viongozi wa vyama hivyo kufanya kazi kwa kuzingatia sheria,uwajibikaji na uadilifu ili kuleta tija katika tasnia ya ushirika nchini.

Aidha Mavunde amewataka wajumbe wa kongamano hilo kujadili kwa kina kuona namna kongamano hilo litatoka na utatuzi wa changamoto ya mafuta ya kula iliyopo nchini,ngano na sukari ili ifike wakati bidhaa hizo zote zipatikane hapa nchini.

Awali Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson  Ndiege, amesema,kongamano hilo ni muhimu katika kuibua changamoto za ushirika na kuzitafutia ufumbuzi.

“Tunachotakiwa hapa ni kuibua changamoto na kuziweka kwenye utekelezaji wa mwaka unaokuja .”amesema 

“Kwa hiyo viongozi tunatakiwa kuendesha ushirika kwa mujibu wa sheria ya Ushirika.”

Akitoa maelezo ya kongamano hilo,Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya kongamano hilo Dkt.Edmund Zakayo amesema,wameamua kufanya makongamano ya tafiti za ushirika kutokana na tafiti nyingi kutokuwa na tija kutokana na tafiti nyingi kuandikwa kwa lugha ya kingereza.

Amesema,hali hiyo imefanya tafiti hizo kubaki kwenye makaratasi kutokana na lugha inayotumika katika kuyaandaa .

“Kutokana na hali hiyo ikaonekana umuhimu wa kuandaa kongamano la kwanza la tafiti za ushirika na hatimaye kuazimia kuwa na kongamano kila mwaka ili tuweze kupata fursa ya kujadiliana matokeo ya tafiti na kujadiliana changamoto zilizopo.”amesema

About the author

Alex Sonna