Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

MAVUNDE AFUNGUA KONGAMANO LA PILI LA TAFITI ZA USHIRIKA DODOMA

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde,akizungumza wakati akifungua  kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson  Ndiege,akielezea umuhimu wa kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia mada mbalimbali wakati wa ufunguzi wa  kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  kongamano la pili la Tafiti za Ushirika ambalo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali leo Mei 12,2022 jijini Dodoma.

………………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

NAIBU Waziri wa Kilimo,Anthony Mavunde,amezindua kongamano la pili la Tafiti za Ushirika huku akiwataka viongozi wa vyama vya Ushirika nchini kuhakikisha ushirika unakuwa fursa badala ya  kuzalisha migogoro.

Akizungumza leo Mei 12,2022 jijini Dodoma wakati akifungua Kongamano la pili la Tafiti za Ushirika,Mavunde amesema kuwa,Ushirika ni eneo ambalo likitumika vyema linaweza kuisaidia nchi hata kutatua changamoto iliyopo nchini ya uhaba wa mafuta ya kula.

Kongamano hilo limeandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na  Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) likiwa na lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya ushirika kupitia tafiti zilizofanyika na uzoefu wa wadau mbalimbali.

Mavunde amesema,sheria ya ushirika inatoa fursa kukabili changamoto nyingi hapa nchini ikiwemo katika kuzalisha mafuta ya kula.

Kwa mujibu wa Mvunde Serikali inatumia shilingi bilioni 474 kuagiza mafuta nje ya nchi huku akisema,lazima ushirika uwe sehemu ya utatuzi wa changamoto hii .

“Katika makongamano haya lazima muungalie ushirika katika picha tofauti ,maana huko zipo fursa za uwekezaji ,hakuna sababu ya kuzalisha migogoro kwenye ushirika ,tunataka ushirika uzalishe utajiri,

“Haipendezi kila siku kusikia kwenye ushirika ,hali hiyo lazima ikome..,kwenye ushirika kunanyooshewa vidole kwa uovu ,lazima tuutoe ushirika huko .”alisema Mavunde

Amewataka viongozi wa vyama hivyo kufanya kazi kwa kuzingatia sheria,uwajibikaji na uadilifu ili kuleta tija katika tasnia ya ushirika nchini.

Aidha Mavunde amewataka wajumbe wa kongamano hilo kujadili kwa kina kuona namna kongamano hilo litatoka na utatuzi wa changamoto ya mafuta ya kula iliyopo nchini,ngano na sukari ili ifike wakati bidhaa hizo zote zipatikane hapa nchini.

Awali Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson  Ndiege, amesema,kongamano hilo ni muhimu katika kuibua changamoto za ushirika na kuzitafutia ufumbuzi.

“Tunachotakiwa hapa ni kuibua changamoto na kuziweka kwenye utekelezaji wa mwaka unaokuja .”amesema 

“Kwa hiyo viongozi tunatakiwa kuendesha ushirika kwa mujibu wa sheria ya Ushirika.”

Akitoa maelezo ya kongamano hilo,Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya kongamano hilo Dkt.Edmund Zakayo amesema,wameamua kufanya makongamano ya tafiti za ushirika kutokana na tafiti nyingi kutokuwa na tija kutokana na tafiti nyingi kuandikwa kwa lugha ya kingereza.

Amesema,hali hiyo imefanya tafiti hizo kubaki kwenye makaratasi kutokana na lugha inayotumika katika kuyaandaa .

“Kutokana na hali hiyo ikaonekana umuhimu wa kuandaa kongamano la kwanza la tafiti za ushirika na hatimaye kuazimia kuwa na kongamano kila mwaka ili tuweze kupata fursa ya kujadiliana matokeo ya tafiti na kujadiliana changamoto zilizopo.”amesema

About the author

Alex Sonna