marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

milanobet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

Featured Kitaifa

WABUNGE WATOA MAONI YA MABORESHO YA SERA YA ELIMU NA MABADILIKO YA MITAALA

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda,akimsikiliza Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Stanslaus Nyongo wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof.Patrick Ndakidemi (CCM),akichangia hoja wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

Mbunge wa Kasulu Vijijini (CCM) Mhe.Augustino Vuma,akichangia hoja wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

MBUNGE wa Viti Maalumu CCM kupitia Kundi la Asasi za Kiraia (NGOs) Mhe Neema Lugangira,akichangia hoja wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

Mbunge wa Ubungo (CCM) Prof.Kitila Mkumbo,akitoa ushauri kwa Serikali wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

Mbunge Viti Maalum anayewakilisha Vyuo Vikuu, Dkt. Tea Ntala,akichangia hoja wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

Mbunge wa Viti Maalumu akiwakilisha kundi la Vijana Mhe Judith Kapinga,akichangia hoja wakati Mkutano wa kupokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia leo Mei 7,2022 bungeni jijini Dodoma.

……………………………………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imepokea maoni ya maboresho ya Sera ya Elimu na Mabadiliko ya Mitaala kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wakichangia maoni yao wabunge hao leo Mei 7,2022 jijini Dodoma katika Mkutano wa kupokea maoni ya wabunge juu ya maboresho ya sekta ya elimu na mabadiliko ya mitaala ya elimu ya msingi.

Wabunge hao wameishauri serikali kutumia lugha ya Kiingereza katika kufundishia badala ya kulikimbia tatizo la kutokuwa na walimu wenye uweledi wa kufundisha kwa lugha ya kiingereza, walimu hao wanatakiwa kwenda kunolewa ili wapatikane walimu stahiki.

Akichangia hoja hiyo Mbunge wa Viti Maalumu, Shari Raymond(CCM) amesema kuwa watoto wa zama hizi hawaijui lugha mama (lugha za makabila) zaidi ya Kiswahili hivyo ni vema wakafundishwa kwa kutumia kiingereza.

“Bado hatujafikia wakati wa sisi kutumia lugha yetu Kiswahili kufundishia masomo, kiingereza kipewe kipaumbele tena kianze  kutumika kuanzia darasa la kwanza,”amesema

Kwa upande wake Mbunge wa Ubungo, Prof.Kitila Mkumbo(CCM) akichangia hoja hiyo, amesema kuwa  nchi za Asia kama vile Singapore  inatumia kiingereza na kufanikiwa kukua kiuchumi.

Prof.Mkumbo amesema kuwa  badala ya kulikimbia tatizo ni vema kulitibu kwa maana kuwa kama hakuna walimu wa kingereza, wafundishwe na kupatikana walimu stahiki wa kufundisha lugha hiyo.
‘Naishauri  Serikali iondoe kodi kwa wamiliki wa shule binafsi ili wajitokeze wengi kufungua shule nyingi na kupunguza uhaba wa ajira za walimu nchini.”amesema Prof.Mkumbo

Naye Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof.Patrick Ndakidemi (CCM) amesema kuwa  Tanzania isipotumia kiingereza watanzania watapata tabu kupata ajira nje ya nchi.

“Kuhusu lugha ya kutumia nitakuwa mkweli, mfano tukisema tunakwenda na kiswahili moja kwa moja ilihali hatutajiandaa kuwa na maneno kamilifu ya kiswahili kwenye sayansi, ukitoka hapa na kiswahili chako ukienda Kenya, Uganda au pengine utabaki hapo hapo Tanzania..

“Mawazo yangu kuhusu lugha ni kwamba lugha ya kiingereza inatumika duniani kote, hivyo tuipe kipaumbele la sivyo tutakapotoka hapa kwenda kwa wenzetu tutapigwa goli,” amesema

Ametolea mfano majairani nchini Kenya, akisema kuwa Wakenya wanawazidi Watanzania katika soko la ajira kwa sababu wanajua kiingereza.

Awali, Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia  Prof.Adolf Mkenda,amesema kuwa  hadi kufikia Disemba mwaka huu atahakikisha rasimu ya maboresho ya sera na mitaala yake imepatikana wakati kufikia Januari mwaka 2023 wataanza mchakato wa kupata idhini serikalini.

“Tumezungumza na wabunge lakini tutakuwa na Kongamano mwisho wa mwezi huu tutaleta wadau wengi kuendelea kupokea maoni tena, tutapokea maoni mtandaoni na kwenye simu halafu tutakuwa na makundi ya kujadili, pia mwisho wa mwezi wa sita tutakuwa na mkutano mkubwa kimataifa wa elimu utafanyika Dar es salaam, mkutano unahitaji wataalamu zaidi tutakuwa na kubadilishana mawazo na sisi tutatumia fursa hiyo kusikilizia wenzetu wamefanya nini,”amesema.

Prof.Mkenda amesema kuwa dunia hivi sasa ina msukumo mkubwa wa mageuzi ya elimu ambapo kuna mpango wa kusamehe madeni au kupata misaada kwenye nchi zinazofanya mageuzi ya elimu.

“Mageuzi tunayokwenda nayo yatakuwa ni makubwa kwa nchi yetu hatutaki kubahatisha, hatuhitaji kukurupuka ndio maana tunahitaji sana kusikiliza maoni yetu,”amesema.

 

About the author

Alex Sonna