slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

cratosroyalbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

jojobet

radissonbet

holiganbet

amgbahis

romabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

MPANGO WA DAMU SALAMA WATAKIWA KUONGEZA USIMAMIZI UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA

Written by Alex Sonna

Mwakilishi wa Mganga Mkuu wa Serikali Dkt Saitole Laizer akizungumza Mkoani Morogoro katika hafla fupi ya kukabidhi vyeti vya Ithibati kwa vituo sita vya kanda za Mpango wa Taifa wa Damu Salama na Mpango wa Taifa wa Damu salama Zanzibar 5/5/2022

Washiriki wa hafla hiyo

Mwakilishi wa Mganga Mkuu wa Serikali Dkt Saitole Laizer akimkabidhi cheti cha ithibati kwa mmoja wa wawakilishi wa Kanda za Mpango wa Taifa za Mpango wa Taifa wa Damu Salama katika hafla fupi ya kukabidhi vyeti vya Ithibati kwa vituo sita vya kanda za Mpango wa Taifa wa Damu Salama na Mpango wa Taifa wa Damu salama Zanzibar 5/5/2022 leo mkoani Morogoro.

Wawakirishi wa Kanda za mpango wa taifa wa damu salama wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu leo Mkoani Morogoro katika hafla fupi ya kukabidhi vyeti vya Ithibati kwa vituo sita vya kanda za Mpango wa Taifa wa Damu Salama na Mpango wa Taifa wa Damu salama Zanzibar.

Picha na Majid Abdulkarim WFA

……………………………………………………..

Na. WAF – Morogoro

Mpango wa Taifa wa Damu Salama nchini umetakiwa kuongeza juhudi katika kusimamia na kuratibu kazi zote zinazofanywa katika vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya Mikoa na halmashauri katika viwango vinavyokusudiwa ili viweze kupata utambuzi rasmi.

Hayo yamebainishwa na Mwakilishi wa Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Saitole Laizer Mkoani Morogoro katika hafla fupi ya kukabidhi vyeti vya Ithibati kwa vituo sita vya kanda za Mpango wa Taifa wa Damu Salama na Mpango wa Taifa wa Damu salama Zanzibar ambapo amesema kuwa Tanzania inakuwa nchi ya tatu kupata Ithibati ya hatua ya tatu ya kuwa na vituo sita vya damu salama nchini vyenye utambuzi rasmi.

“Tanzania inaweza kuruhusiwa kuuza mazao ya Damu Salama mahali popote duniani kwani tumefikia viwango vya ubora vinavyokubalika kimataifa”, amesema Dkt Laizer.

Dkt. Laizer amesema chombo kinachotoa idhibati hiyo ni chombo cha kimataifa kinachoitwa Afrika Association of Blood Transfusion ambapo taasisi hiyo inapita kila nchi na kutizama ubora wa huduma ya Mpango wa Taifa wa Damu Salama.

Dkt.Laizer metoa wito kwa Mpango wa Taifa wa Damu Salama nchini kuendelea kuhakikisha kwamba ubora wa Huduma uliopatikana katika hali ya juu bila kuteteleka.

“Maana kufikia kiwango cha juu ni hatua moja lakini kuendelea kubaki kiwango cha juu pia ni hatua nyingine”, amesema Dkt.Laizer

Dkt. Laizer amesisitiza Mpango wa Taifa wa Damu Salama Nchini kutatua changamoto zilizopo kuhakikisha wanalinda ubora walioupata na kwamba serikali iko bega kwa bega na kuona Mpango huo unakwenda kuwa endelevu na kuboreka kila mwaka.

Vituo sita vilivyopata ithibati hiyo ni Kanda ya Kaskazini Mkoa wa Kilimanjaro, Kanda ya Ziwa- Mwanza, Kanda ya nyanda za Juu Kusini- Mbeya, Kanda ya Magharibi- Tabora, Kanda ya Kusini- Mtwara pamoja na Mpango wa Taifa wa Damu Salama Zanzibar.

Akizungumza Dkt. Laizer amesema kuwa Mpango wa Taifa wa Damu Salama una jukumu kubwa la kuhakikisha unaelimisha, kuhamasisha, kukusanya damu kutoka kwa wachangiaji wa hiari na kusambaza katika vituo vya kutolea huduma nchini.

“Baada ya kukusanya damu hiyo huwa inachuguzwa kwa kupima magonjwa yote kabla ya kumhudumia muhitaji wa damu katika kituo husika”, ameeleza Dkt. Laizer

Kwa upande wake Mtekenolojia wa Maabara kutoka TAMISEMI Peter Torokaa amesema kuwa ili kufikia lengo la taifa ka kukusanya Damu chupa Laki tano na Hamsini Elfu kila mkoa unatakiwa kuchangia asilimia moja.

Naye, Mkurugenzi wa Tiba kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Amour Mohamed amesema kuwa hali ya upatikanaji damu salama ni nzuri ambapo lengo ni damu kumsubiri mgonjwa na sio Mgonjwa kusubiri damu.

Hata hivyo Meneja wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dkt. Magdalena Lyimo amesema kuwa hali ya upatikanaji wa damu salama nchini ni asilimia 60 ambapo wanakidhi mahitaji ya nchi kwa sasa.

“Tunahitaji chupa 550, 000 kila mwaka ambapo kwa sasa tunakusanya chupa 330,000 kwa mwaka sawa na asilimia 60 ya mahitaji yetu”. amesema Dkt. Lyimo.

 

Vile vile Mkurugenzi Mwendeshaji wa MDH, Dkt. Nzove Ulenga amesema kuwa umoja na ushirikiano uloimarishwa baina ya MDH na Serikali kupitia Wizara ya Afya na Mpango wa Taifa wa Damu salama ndio chachu ya kupatikana kwa idhibati hizi zilizotolewa leo.

About the author

Alex Sonna