Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

WAZIRI MAKAMBA AWAHAKIKISHIA SOKO LA NDANI WADAU WA NGUZO ZA UMEME ZA MITI NCHINI

Written by Alex Sonna


Waziri wa Nishati, January Makamba akizungumza na Wadau wa nguzo za miti( hawapo pichani), kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Waziri Kindamba na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Queen Sendiga, katika mkutano wake na wadau hao uliofanyika, Mafinga mkoani Iringa, Aprili 30, 2022.

Baadhi ya Wadau wa Nguzo wakimsikiliza Waziri wa Nishati, January Makamba( hayupo pichani), wakati wa Mkutano wa Waziri huyo na wadau hao kuhusu uzalishaji wa nguzo bora uliofanyika, Mafinga mkoani Iringa, Aprili 30, 2022.

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Said,akizungumza na Wadau wa nguzo( hawapo pichani) wakati wa mkutano wa Wadau hao kuhusu uzalishaji wa nguzo bora uliofanyika, Mafinga mkoani Iringa, Aprili 30, 2022.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO), Maharagwe Change,akizungumza na Wadau wa nguzo( hawapo pichani) wakati wa mkutano wa Wadau hao kuhusu uzalishaji wa nguzo bora uliofanyika, Mafinga mkoani Iringa, Aprili 30, 2022.

********************************

Ø Aunda Kamati maalum itakayowezesha upatikanaji wa nguzo zenye ubora zaidi

Na Zuena Msuya, Iringa

Waziri wa Nishati, January Makamba amewatoa hofu wadau wa nguzo za Miti za Umeme nchini kwa kuwahakikishia soko la kuuza nguzo zenye ubora kwa Shirika la Umeme nchini( TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini ( REA), hapa nchini.

Aidha, amewataka Wadau hao kuzalisha nguzo hizo zenye ubora ili Serikali iweze kuwatafutia masoko ya nje kwa kuwa wana uwezo kuzalisha zaidi kukidhi mahitaji ya soko la ndani ya sasa na ziada.

Makamba alisema hayo wakati wa mkutano wake uliohusiha Wazalishaji, Wasafirishaji, na Watengenezaji wa nguzo za miti za Umeme, kutoka Mkoa wa Iringa na Njombe, uliofanyika Mafinga Mkoani Iringa, Aprili 30, 2022.

Mkutano huo umelenga kuondoa sintofahamu pamoja na minong’ono inayoendelea kwa baadhi ya watu wanaopotosha kuwa Serikali haitanunua nguzo za Umeme za ndani na badala yake zitaagizwa kutoka nje ya Nchi.

Katika mazungumzo yake na Wadau hao, Makamba alisema kuwa, Serikali itaendelea kununua nguzo za miti za Umeme kutoka kwa wazalishaji wake wa ndani ili kulinda viwanda vya ndani kwa kuzingatia ubora wa nguzo uliowekwa.

“Lengo la Serikali ni kukuza uchumi wa wananchi wake kwa kuboresha bidhaa zao kwa kuwasimamia katika kuzalisha kwa vigezo na ubora uliowekwa, ili wananchi hao waweze kunufaika na kukuza uchumi wao na pato la Taifa kwa ujumla”, Alisema Makamba.

Pamoja na Mambo mengine, aliwataka Wadau hao kuhakikisha wanazalisha nguzo zinazokidhi viwango na ubora unaotakiwa kimataifa ili kuweza kukidhi soko la ndani na hata nje ya Nchi kwa kuwa mikoa hiyo inaongoza kwa kuwa na uzalishaji wa nguzo.

Alisema kuwa, Serikali itakikisha kuwa biashara ya nguzo za miti za Umeme, inakuwa zaidi Kitaifa na kimataifa kama Nchi zingine zinavyofanya ikiwemo Afrika Kusini ambao wanauza nguzo kama hizo katika nchi nyingine.

Kwa Mantiki hiyo, ameelekeza kuundwa kwa Kamati ya watu 12 kutoka katika kila kundi la Wadau wa nguzo za miti za Umeme, katika Mikoa ya Njombe na Iringa, Wizara na Taasisi zake pamoja na Shirika la Viwango nchini ( TBS) ili kuongeza ufanisi katika kuzalisha nguzo zenye ubora unaolidhi viwango.

Kamati hiyo pia itatoa ushauri sahihi kwa Wadau hao juu ya njia bora za kufuata na kuzingatia ili kupata bidhaa zilizobora zitakazo kubalika Kitaifa na kimataifa.

Waziri Makamba amewataka Wadau hao kuunda chama Cha wazalishaji wa nguzo ili kiweze kudhibiti ubora unaotakiwa na hata kutoa adhabu kali kwa atakayebainika kuzalisha chini ya Kiwango pamoja na kuandaa sheria zitakazoongoza chama hicho.

Aidha ameutaka umoja huo kwenda kujifunza zaidi, namna ya kudhibiti ubora wa nguzo kwa nchi zilizofanikiwa ikiwemo Afrika Kusini ili kuleta ushindani zaidi.

“Ni vyema mkawa na Cha ma chenu kinachotambulika kisheria, Cha hiki ni chombo muhimu katika kuwasimamia na kuwaongoza, vilevile kitakuwa kinatumika kudhibiti ubora wa nguzo zinazozalishwa kwani atakayekuwa akienda tofauti mtamshungulikia na hata kumpatia adhabu pale atakapokuwa akienda kinyume na kuharibu soko”, Alisisitiza Makamba.

Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO), Maharagwe Change, aliwataka Wadau hao kuwa waaminifu pale nguzo zao zinapotakiwa kupelekwa katika maeneo ya miradi kwa kuweka nguzo halisi zilizokaguliwa na siyo kufanya udanganyifu wa kuweka zisizokuwa na ubora.

Amesema kumekuwa na changamoto ya nguzo kuharibika baada ya muda mfupi kutumika kutokana na kuwa chini ya kiwango na ubora unaotakiwa, huku nguzo hizo zikiwa tayari zimekaguliwa na kuonekana zina ubora unaotakiwa.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Said, amewahakikishia Wadau hao kuwa soko la nguzo lipo la kutosha kwani bado miradi mingi ya usambazaji wa Umeme vijijini inaendelea na nguzo nyingi zinahitajika.

Akitoa mfano Mkoa wa Iringa kuwa kuna Mradi wa Ujazilizi ambao unatarajia kuanza hivi karibuni katika Mkoa huo na mikoa mingine.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa Mkutano huo ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Queen Sendiga, alimuhakikishia Waziri wa Nishati kuwa atashirikia na Wadau hao kutekeleza yake yanayotakiwa ili kupata bidhaa Bora na hatimae Mikoa hiyo iwe kinara katika kuzalisha nguzo na bidhaa za miti zenye ubora unaotakiwa.

Amewataka Wadau hao kutoa ushirikiano kwa mamlaka husika na kuwa wasikivu kwa kile watakachokuwa wakielezwa kwa lengo la kupata bidhaa Bora kwa manufaa yao na taifa kwa jumla.

About the author

Alex Sonna