Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betpas

betcup

casinofast giris

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betface

betface

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO YA UONGOZI…RAS ATAKA KILIMO CHA KISASA

Written by Alex Sonna
 
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHIRECU Mjini Shinyanga.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imewataka viongozi wa Vyama vya Ushirika kuwa waaminifu katika kulipa wakulima bei stahiki na kujitahidi kudhibiti ubora wa mazao, usafi wa mazao na vipimo sahihi wakati wa kuuza mazao ili yaweze kupata bei nzuri.
 
 
Hayo yamesemwa leo Alhamisi Aprili 28,2022 na Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (Madini, pamba na tumbaku) mkoa wa Shinyanga yenye lengo la kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya usimamizi wa Ushirika, kujiendesha kibiashara na Maadili ili waweze kufanya shughuli zao vizuri.
 
 
Omary ameshauri pia mazao yaliyopo kwenye Ushirika ambayo ni Pamba, Korosho,Mkonge na Tumbaku yapangwe katika madaraja sahihi ili kumrahisishia mnunuzi kutoa bei nzuri zaidi kuliko kuchanganya.
 
“Hivi sasa tunaelekea msimu wa masoko kwa mazao ya pamba na tumbaku. Niwaombe tujaribu kusimamia masoko yetu vizuri ili kuhakikisha changamoto za msimu uliopita hazijirudii.Tuweke mifumo mizuri ya uuzaji za ulipwaji wa pesa zetu hasa upande wa vyama vya pamba,tuachane na malipo ya pesa taslimu yatatuchelewesha maendeleo na kutusababishia migogoro ya upotevu na wizi wa pesa za pamba”,amesema Omary.
 
“Pia tuimarishe zaidi usimamizi wa vyama vya ushirika kwa kuajiri watendaji wenye sifa badala ya kuleana na kubebana. Hili naomba sana Mrajis Msaidizi wahimize Maafisa Ushirika wako wavielekeze vyama kuajiri watendaji wenye sifa ambao wana uwezo wa kutuvusha na kutufikisha mahali tunapopatarajia kufika la sivyo vyama hivi havitabadilika”,ameongeza.
 
Amebainisha kuwa serikali inahitaji kuona vyama vya ushirika vikijiendesha na kusimamiwa vizuri kwa misingi ya Ushirika badala ya kufanya mambo kwa mazoea.
 
Aidha amewahimiza wana ushirika kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kufanya kazi kwa bidii na kulima kilimo chenye tija na kilimo cha kisasa kuachana na kilimo cha mazoea kwani serikali inaendelea kutoa fursa mbalimbali za kumkomboa mkulima ikiwemo kutoa dawa na mbegu bure,kuboresha huduma za ugani kwa kugawa vitendea kazi kwa maafisa ugani nchi nzima na benki kupunguza riba kwenye kilimo.
 
Katika hatua nyingine amevitaka Vyama vya Ushirika kuhakikisha vinachagua viongozi wenye uwezo kwa kufanya kazi kwa misingi ya utawala bora badala ya kufanya kazi kwa mazoea huku akisisitiza kuwa viongozi hao wanatakiwa kuwa wenye maono,wabunifu na kuwea kuzitunza na kuzilinda mali za wana ushirika na siyo kuhujumu mali hizo.
 
“Kwa sasa mkoa wa Shinyanga una jumla ya maafisa ushirika 7 katika halmashauri sita lakini Ofisi ya Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa anayesimamia vyama 452 vya mkoa mzima hana hata afisa ushirika wa kumsaidia kakzi kwenye ofisi yake. Suala hili serikali kupitia Wizara ya Kilimo inaendelea kulitafutia ufumbuzi ili kuwa na idadi ya watumishi wanaotakiwa”,amesema.
 
“Jukumu la kuubadilisha ushirika wetu siyo la mtu mmoja ni letu sote. Jukumu hili siyo la Mrajis Msaidizi mkoa pekee lazima tusaidiane naye kuhakikisha mipango iliyowekwa na Tume ya maendeleo ya Ushirika pamoja na maono ya wana ushirika tunasaidiana kuyatekeleza kwa pamoja na kwa umoja wetu. Na huo ndiyo ushirika wenyewe na hiyo ndiyo dhana ya ushirika”,ameongeza Omary.
 
 
Naye Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace amesema mafunzo hayo kwa Wajumbe wa bodi yanatarajiwa kuleta tija kwa kuonesha mabadiliko chanya kwa viongozi wa vyama vya ushirika katika maeneo wanayoyasimamia.
 
“Mafunzo haya yana lengo la kukumbushana wajibu na mipaka ya vyama vya ushirika,kubadilishana mawazo,kuwakutanisha na wadau wa sekta ya kilimo ili kuonesha fursa zilizopo kwani tunataka vyama vya ushirika vinakuwa endelevu”,amesema Boniphace.
 
“Tunataka Ushirika uwe imara na ujiendeshe kibiashara. Tunashukuru viongozi wa vyama vya ushirika wamehudhuria mafunzo haya kwa wingi tofauti na matarajio yetu hii inaonesha ni kiasi gani wanataka mabadiliko katika kuboresha utendaji kazi wao”,amesema.
Mkoa wa Shinyanga una jumla ya vyama vya Ushirika vya Msingi 457 vyenye jumla ya wana ushirika 46,395. Pia kuna vyama vya Upili vitatu vinavyojumuisha Union mbili za SHIRECU LTD na KACU LTD vyenye jumla ya vyama wanachama na mkoa una jumla ya SACCOS 7 tu ambazo zimepata leseni kati ya SACCOS 20 zilizokuwepo hapo awali.
 
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHIRECU Mjini Shinyanga. 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHIRECU Mjini Shinyanga.
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace akizungumza kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace akizungumza kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace akizungumza kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Mwezeshaji Charles Malunde akitoa mada kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna