slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

palacebet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

casibom

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

cashwin

cratosroyalbet

betgit

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casinoroyal

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO YA UONGOZI…RAS ATAKA KILIMO CHA KISASA

Written by Alex Sonna
 
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHIRECU Mjini Shinyanga.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imewataka viongozi wa Vyama vya Ushirika kuwa waaminifu katika kulipa wakulima bei stahiki na kujitahidi kudhibiti ubora wa mazao, usafi wa mazao na vipimo sahihi wakati wa kuuza mazao ili yaweze kupata bei nzuri.
 
 
Hayo yamesemwa leo Alhamisi Aprili 28,2022 na Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (Madini, pamba na tumbaku) mkoa wa Shinyanga yenye lengo la kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya usimamizi wa Ushirika, kujiendesha kibiashara na Maadili ili waweze kufanya shughuli zao vizuri.
 
 
Omary ameshauri pia mazao yaliyopo kwenye Ushirika ambayo ni Pamba, Korosho,Mkonge na Tumbaku yapangwe katika madaraja sahihi ili kumrahisishia mnunuzi kutoa bei nzuri zaidi kuliko kuchanganya.
 
“Hivi sasa tunaelekea msimu wa masoko kwa mazao ya pamba na tumbaku. Niwaombe tujaribu kusimamia masoko yetu vizuri ili kuhakikisha changamoto za msimu uliopita hazijirudii.Tuweke mifumo mizuri ya uuzaji za ulipwaji wa pesa zetu hasa upande wa vyama vya pamba,tuachane na malipo ya pesa taslimu yatatuchelewesha maendeleo na kutusababishia migogoro ya upotevu na wizi wa pesa za pamba”,amesema Omary.
 
“Pia tuimarishe zaidi usimamizi wa vyama vya ushirika kwa kuajiri watendaji wenye sifa badala ya kuleana na kubebana. Hili naomba sana Mrajis Msaidizi wahimize Maafisa Ushirika wako wavielekeze vyama kuajiri watendaji wenye sifa ambao wana uwezo wa kutuvusha na kutufikisha mahali tunapopatarajia kufika la sivyo vyama hivi havitabadilika”,ameongeza.
 
Amebainisha kuwa serikali inahitaji kuona vyama vya ushirika vikijiendesha na kusimamiwa vizuri kwa misingi ya Ushirika badala ya kufanya mambo kwa mazoea.
 
Aidha amewahimiza wana ushirika kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kufanya kazi kwa bidii na kulima kilimo chenye tija na kilimo cha kisasa kuachana na kilimo cha mazoea kwani serikali inaendelea kutoa fursa mbalimbali za kumkomboa mkulima ikiwemo kutoa dawa na mbegu bure,kuboresha huduma za ugani kwa kugawa vitendea kazi kwa maafisa ugani nchi nzima na benki kupunguza riba kwenye kilimo.
 
Katika hatua nyingine amevitaka Vyama vya Ushirika kuhakikisha vinachagua viongozi wenye uwezo kwa kufanya kazi kwa misingi ya utawala bora badala ya kufanya kazi kwa mazoea huku akisisitiza kuwa viongozi hao wanatakiwa kuwa wenye maono,wabunifu na kuwea kuzitunza na kuzilinda mali za wana ushirika na siyo kuhujumu mali hizo.
 
“Kwa sasa mkoa wa Shinyanga una jumla ya maafisa ushirika 7 katika halmashauri sita lakini Ofisi ya Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa anayesimamia vyama 452 vya mkoa mzima hana hata afisa ushirika wa kumsaidia kakzi kwenye ofisi yake. Suala hili serikali kupitia Wizara ya Kilimo inaendelea kulitafutia ufumbuzi ili kuwa na idadi ya watumishi wanaotakiwa”,amesema.
 
“Jukumu la kuubadilisha ushirika wetu siyo la mtu mmoja ni letu sote. Jukumu hili siyo la Mrajis Msaidizi mkoa pekee lazima tusaidiane naye kuhakikisha mipango iliyowekwa na Tume ya maendeleo ya Ushirika pamoja na maono ya wana ushirika tunasaidiana kuyatekeleza kwa pamoja na kwa umoja wetu. Na huo ndiyo ushirika wenyewe na hiyo ndiyo dhana ya ushirika”,ameongeza Omary.
 
 
Naye Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace amesema mafunzo hayo kwa Wajumbe wa bodi yanatarajiwa kuleta tija kwa kuonesha mabadiliko chanya kwa viongozi wa vyama vya ushirika katika maeneo wanayoyasimamia.
 
“Mafunzo haya yana lengo la kukumbushana wajibu na mipaka ya vyama vya ushirika,kubadilishana mawazo,kuwakutanisha na wadau wa sekta ya kilimo ili kuonesha fursa zilizopo kwani tunataka vyama vya ushirika vinakuwa endelevu”,amesema Boniphace.
 
“Tunataka Ushirika uwe imara na ujiendeshe kibiashara. Tunashukuru viongozi wa vyama vya ushirika wamehudhuria mafunzo haya kwa wingi tofauti na matarajio yetu hii inaonesha ni kiasi gani wanataka mabadiliko katika kuboresha utendaji kazi wao”,amesema.
Mkoa wa Shinyanga una jumla ya vyama vya Ushirika vya Msingi 457 vyenye jumla ya wana ushirika 46,395. Pia kuna vyama vya Upili vitatu vinavyojumuisha Union mbili za SHIRECU LTD na KACU LTD vyenye jumla ya vyama wanachama na mkoa una jumla ya SACCOS 7 tu ambazo zimepata leseni kati ya SACCOS 20 zilizokuwepo hapo awali.
 
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHIRECU Mjini Shinyanga. 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHIRECU Mjini Shinyanga.
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace akizungumza kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace akizungumza kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace akizungumza kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Mwezeshaji Charles Malunde akitoa mada kwenye mafunzo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna