marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

ibizabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

bets10

bets10

bets10 giriş

bets10

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

deneme bonusu 2026

kralbet

Grandpashabet

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

SERIKALI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA KUKUZA NA KULINDA HAKI ZA BINADAMU

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,akizungumza wakati wa kikao cha 71 cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kilichofanyika kwa njia ya mtandao, kwa mara ya kwanza Lugha ya Kiswahili imetumika sambamba na lugha nyingine kama lugha ya kazi.

…………………………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amesema kuwa Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ina nia ya dhati ya kuendelea kuchukua hatua za kisera, kisheria na kiutawala kukuza na kulinda haki za binadamu na haki za watu.

Hayo ameyasema jijini Dodoma wakati wa kikao cha 71 cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kilichofanyika kwa njia ya mtandao huku kwa mara ya kwanza Lugha ya Kiswahili imetumika sambamba na lugha nyingine kama lugha ya kazi.

Dk.Ndumbaro amesema kuwa katika utekelezaji wa shughuli za Serikali yake, Rais amelipa kipaumbele suala la kulinda na kukuza haki za binadamu na watu.

” Serikali ilipata shilingi trilioni 1.3 za ufadhili kwa ajili ya kukabiliana na janga la Covid-19 kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) mwaka 2021 ambazo zilitumika kununua dawa na maeneo ambayo yaliadhirika zaidi na janga hilo kama vituo vya afya, shule, mabweni kuchimba visima vya maji na kuimarisha programu za kuinua uchumi kwa kuzingatia makundi maalum hususani vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.”

Dk Ndumbaro amesema katika kutekeleza wajibu wa kukuza na kulinda haki za watu, Serikali imekuwa ikiongozwa na misingi ya Utawala wa sheria na Utawala Bora.

Aidha amesema kuwa majadiliano na ushiriki wa wadau yamekuwa yakifanyika katika kukuza haki za kiraia na kisiasa na kusisitiza kuwa katika kukuza uhuru wa maoni na haki ya kupata taarifa, tozo za kusajili runinga za mitandao na magazeti na runinga za mitandao zilizokuwa zimefungwa kwa ukiukwaji wa kanuni za utangazaji zilifunguliwa.

” Serikali ina heshimu misingi ya demokrasia na uhuru wa watu, hivyo kumekuwa na jitihada za makusudi za kukuza haki za kiraia na za kisiasa.”amesema

Hata hivyo amesema kuwa  hadhi za makundi maalumu hususani wanawake na wasichana pia zinaendelea kukuzwa na kulindwa.

” Serikali ilipitisha Waraka wa Elimu namba 2 wa Novemba 24 mwaka 2021 kuruhusu watoto walioachishwa masomo kwa sababu mbalimbali ikiwamo ya kupata mimba waweze kurudi kwenye mfumo rasmi wa elimu baada ya kujifungua.”

Aidha, Dk Ndumbaro amesema Lugha ya Kiswahili imekuwa na mchango katika kuhakikisha nchi amani na utulivu mazingira ambayo yanawezesha wananchi kuendelea kunufaika na haki zao za msingi.

About the author

Alex Sonna