marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis giriş

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

casino zonder cruks

Featured Kitaifa

VISIMA VYA NISHATI YA JOTOARDHI KUANZA KUCHORONGWA SONGWE

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba (Wa Sita kushoto) na Wafanyakazi wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania (TGDC), TANESCO pamoja na wakazi wa Kijiji cha Nanyala katika eneo ambalo utafanyika uchorongaji wa kisima cha  Jotoardhi ambapo mategemeo yake ni kupata Megawati 5 – 38 za Umeme wa Jotoardhi.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati , Eng. Felchesmi Mramba akisisitiza jambo wakati wa  ziara yake katika eneo la uendelezaji wa Jotoardhi mkoani Songwe. Kulia kwake ni Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Mathew Mwangomba na kushoto kwake ni Mhandisi Shakiru Idrissa, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TGDC.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati , Eng. Felchesmi Mramba (katikati) akikagua eneo lenye nishati ya Jotoardhi katika Kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe. Kulia kwake ni Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Mathew Mwangomba na kushoto kwake ni Mhandisi Shakiru Idrissa, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TGDC.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati , Eng. Felchesmi Mramba (katikati) akitazama maji ya moto yanayotoka ardhini  katika Kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiwa ni moja ya ishara za uwepo wa nishati ya Jotoardhi katika eneo hilo. Kulia kwake ni Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Mathew Mwangomba na kushoto kwake ni Mhandisi Shakiru Idrissa, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TGDC.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati , Eng. Felchesmi Mramba (wa Pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mhandisi Mathew Mwangomba (wa Pili kushoto)  kuhusu kifaa cha ukusanyaji wa taarifa za Jotoardhi kilichofungwa katika eneo lenye nishati ya Jotoardhi katika Kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe. Wa kwanza kulia ni Mhandisi Shakiru Idrissa, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TGDC.

…………………………………………….

Imeelezwa kuwa, Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) kuanzia mwezi Mei mwaka huu itaanza kuchoronga visima vifupi vya utafiti katika mradi wa Jotoardhi Songwe, vitakavyosaidia kupata taarifa za uhakika za kisayansi zitakazowezesha mradi huo kuanza kuzalisha umeme wa kiasi cha megawati 5 ifikapo mwaka 2023.

Hayo yalisemwa tarehe 15 Aprili, 2022 wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba katika eneo utakapotekelezwa mradi huo wa Jotoardhi katika Kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe.

Mhandisi Mramba alieleza kuwa, lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kujionea hali ya eneo hilo, hatua zilizofikiwa hadi sasa za uendelezaji wa rasilimali hiyo ya Jotoardhi pamoja na hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuhakikisha mradi huo unatekelezwa ili kuweza kupata umeme kutokana na nishati hiyo.

Alisema kuwa, Serikali imejikita katika kuendeleza nishati Jadidifu ambazo ni endelevu, salama na rafiki wa Mazingira kama vile Jotordhi ili kuhakikisha kuwa kunakuwa na uhakika wa uzalishaji umeme nchini kwani nishati nyingine kama vile Gesi Asilia ambayo inazalisha umeme kwa kiasi kikubwa kwa sasa nchini huwa inaisha tofauti na nishati jadidifu kama ya Jotoardhi.

Aidha, alielekeza kuwa, wakati TGDC ikiwa kwenye mpango wa kuanza kuchoronga visima vya majaribio na vya kuzalisha mvuke, wanapaswa kuwa na hatimiliki ya eneo hilo ili kuwa na uhakika na eneo hilo ambalo lina manufaa makubwa kwa nchi.

Vilevile aliipongeza TGDC kwa kuwa tayari imeanza kujipanga na uendelezaji wa eneo la mradi ikiwemo uwepo wa viwanda mbalimbali kama vile vinavyohitaji Joto na Majimoto ili kutekeleza za uzalishaji na hivyo aliwaasa wananchi wa Kijiji hicho cha Nanyala kuendelea kutunza eneo hilo litakalokuwa na manufaa.

Awali, Kaimu Meneja Mkuu wa TGDC, Mhandisi Mathew Mwangomba, alimweleza Katibu Mkuu kuwa,  mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2018 na unatarajiwa kukamilika mwaka 2023/24  ukiwa na uwezo wa kuzalisha umeme wa kiasi cha megawati 5 hadi 38.

Alisema kuwa, pamoja na kujipanga na kuanza kazi ya kuchoronga visima, TGDC inaendelea na utekelezaji wa miradi ya matumizi mengine katika eneo la mradi ikiwemo kuongeza thamani ya mazao ya mifugo ambapo kutajengwa mabwawa ya kufugia Samaki pamoja na teknolojia ya kutotolesha vifaranga vya kuku kwa kutumia Jotoardhi.

Aliongeza kuwa, miradi mingine inayoendelea kutekelezwa kutokana na uwepo wa nishati ya Jotoardhi ni pamoja na uendelezaji wa kilimo ambapo kutajengwa nyumba kitalu kuongeza thamani ya mazao ya kilimo kama kukausha mazao kwa kutumia joto na kuboresha vivutio vya utalii  vinavyopatikana katika maeneo ya Jotoardhi kama vile bwawa la kuogelea la majimoto.

Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa Jotoardhi usiopungua megawati 5000 zinazopatikana ndani ya mikoa 16 nchini.

About the author

Alex Sonna