Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Uncategorized

WAZIRI NAPE:’ANWANI ZA MAKAZI KUTUNZA HISTORIA YA NCHI’

Written by Alex Sonna

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akiwa na Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma wakati wa ziara yake katika mkoa huo kukagua utekelezaji wa operesheni ya Anwani za Makazi.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akikagua kibao chenye anwani ya Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Mjini katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma. Aliyeambatana naye ni Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akisimika nguzo yenye jina la barabara ya Chikongola mkoani Mtwara. Kushoto ni Brigedia Jenerali Marco Gaguti, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akibandika jina la barabara ya Chikongola kwenye nguzo kabla ya kuisimika katika moja ya barabara za mkoa wa Mtwara.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akisimika nguzo yenye jina la barabara ya Uhuru katika mkoa wa Lindi.

Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Clarence Ichwekeleza akizungumza na baadhi ya watendaji wa Mkoa wa Lindi (hawapo pichani), wakati wa ziara ya Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Nape Nnauye (kulia) katika mkoa hio kukagua utekelezaji wa operesheni ya Anwani za Makazi

………………………………………………….

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye ametoa rai kwa wananchi na viongozi wa mikoa na halmashauri kuweka majina ya barabara na mitaa ambayo yatalinda historia ya nchi

Rai hiyo ameitoa leo tarehe 13 Aprili, 2022 wakati wa ziara yake katika mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi kukagua na kuhamasisha kasi ya utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi

Amesema kuwa, “Zoezi hili litumike kulinda historia ya nchi yetu, tusiache ikapotea tutumie majina ya viongozi mashuhuri pamoja na watu mashuhuri ili watoto wetu na vizazi vijavyo watakaokuja kutumia mfumo huu wakiuliza kwanini jina fulani basi wapatiwe historia ya jina husika “.

Ameongeza kuwa upo mwongozo mdogo wa uundaji wa majina ya barabara, mitaa na njia unaoruhusu wananchi kukubaliana na kuchagua jina la barabara na mtaa lakini sio vibaya katika baadhi ya maeneo wakitumia majina ya viongozi mashuhuri na watu mashuhuri ili kulinda historia ya nchi

Katika hatua nyingine, Waziri Nape amezielekeza sekretarieti za mikoa kuandaa mifumo madhubuti ya kulinda miundombinu ya Anwani za Makazi dhidi ya uharibifu unaoweza kufanywa na watu wasiothamini maendeleo ya nchi

“Tuweke mifumo ya kulinda miundombinu ya mfumo huu, kwasababu kuna watu wanaweza kuiharibu kwa makusudi kwa kuitoa na kwenda kuiuza chuma chakavu, hivyo tuandae mifumo madhubuti ya kuilinda na kuwashughulikia waharibifu wa miundombinu hii”, amesisitiza Waziri huyo

Aidha, Waziri Nape ameridhishwa na utekelezaji wa mfumo huo katika mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi ikiwa ni mikoa iliyopo katika kumi bora kwenye utekelezaji wa Operesheni hiyo kwa mujibu wa taarifa zinazopatikana katika mfumo wa kidijitali wa Anwani za Makazi

“Sio kwamba hatuziamini sekretarieti za mikoa katika kutekeleza operesheni hii, ukweli ni kuwa mnafanya kazi nzuri lakini Wizara ninayoisimamia ina wajibu wa kufika na kukagua namna utekelezaji wa operesheni hii unavyoendelea na vibao vinavyowekwa ili ifikapo mei 22 mwaka huu wa 2022 tuukabidhi mfumo ukiwa salama, kamili na tayari kutumika”, amesisitiza Waziri Nape

Naye Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amesema utekelezaji wa operesheni hiyo katika mkoa wake umefikia asilimia 97 na katika mkoa huo zoezi linakwenda vizuri na litakamilika kabla ya tarehe 30 Aprili mwaka huu

Kwa upande wa Brigedia Jenerali Marco Gaguti, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, amesema utambuzi umekwishakamilika kwa asilimia 100, zoezi lililobaki ni kuingiza taarifa kwenye mfumo wa kidijitali na kusimika nguzo za majina ya barabara na mitaa na kabla ya tarehe 30 mwezi huu wa Aprili zoezi litakuwa limekamilika

Naye Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Clarence Ichwekeleza ametolea ufafanuzi kwa maeneo ambayo yamepimwa lakini bado hayajaendelezwa kuwa ni lazima yatapewa namba na taarifa zake zitaingizwa kwenye mfumo

“Msingi wa anwani yeyote ni kiwanja hata kama hakijajengwa taarifa zake ni lazima ziingizwe kwenye mfumo wa utambuzi wa kidijitali wa Anwani za Makazi ili hapo baadae patakapoendelezwa mfumo wa utaonesha nyumba hiyo au jengo hilo ni namba ngapi”, amesisitiza Mhandisi Ichwekeleza

About the author

Alex Sonna