marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

porno izle

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betplay

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

jojobet

betasus giriş

kingroyal giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

Featured Kitaifa

DKT.GRACE MAGEMBE AFUNGUA KIKAO KAZI CHA TATHIMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UKIMWI KWA WARATIBU NA WAHASIBU WA AFYA

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt. Grace Magembe akisisitiza jambo wakati akifungua Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt. Grace Magembe akizungumza katika Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam. Mratibu wa UKIMWI kutoka OR-TAMISEMI Dkt.Neema Mlole akizungumza katika Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam.

Afisa Msimamizi wa fedha wa mradi wa Global Fund OR-TAMISEMI Bw.Emmanuel Mwaisabila akiwa katika Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam. 

Mratibu wa Mradi wa Global Fund OR-TAMISEMI Dkt.Mwanahamisi Hassan akifuatilia   Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam. Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw..Ayoub Kibao akifuatilia Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam.  Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt. Grace Magembe akipata picha ya pamoja na baadhi ya Waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri katika kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt. Grace Magembe akipata picha ya pamoja na baadhi ya wawakilishi kutoka Wizara ya Afya katika Kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kwa waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam.   Baadhi ya waratibu wa UKIMWI na wahasibu wa Afya wa Mikoa na Halmashauri wakiwa katika kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI kilichofanyika leo Aprili 11,2022 Jijini Dar es Salaam.

(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

**********************

Waratibu wa UKIMWI na  wahasibu wa Afya wa Mikoa na halmashauri nchini wamtakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia uwekwaji wa takwimu za wagonjwa, dawa,fedha pamoja na rasilimali zote za miradi ili kuhakikisha sekta hiyo inakuwa na kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI.

Akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Tathimini ya Utekelezaji wa Shughuli za UKIMWI  Jijini Dar es Salaam,Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt. Grace Magembe amesema watawapima utendaji wao wa kazi kwa kuzingatia ufanisi wao katika kusimamizi miradi hiyo ikiwemo hoja za ukaguzi.

“Kama wewe ni mhasibu au mratibu unaonekana unasababisha hoja za ukaguzi kila siku na zikisababisha huzijibu kwa wakati, wewe haufai kuwa kiongozi kwenye nafasi yako kwahiyo tutakutoa kwa vigezo hiyo ili tuweke mtu ambaye atazingatia kanuni, taratibu na sheria za utumishi katika utendaji wa Umma.

Aidha Dkt.Magembe amewasisitizia umuhimu wa kufuatilia wagonjwa kwa kuhakikisha kwamba wanapata huduma bora kwa wakati na kwa vigezo vimewekwa kitaifa na vilevile kimataifa.

Amewasisitizia pia suala zima la kusikiliza au kupata mrejesho kutoka kwa wananchi ambao wamewahudumia ili waweze kuwaambia uzuri au mapungufu ya huduma zao ambapo mara nyingi wanatoa huduma wakiwa wamejifungia

Kwa upande wake Mratibu wa Mradi wa Global Fund OR-TAMISEMI Dkt.Mwanahamisi Hassan amesema wanafanya tathimini ya utekelezaji kuangalia ni nini ambacho wametekeleza mpaka sasa katika mradi na changamoto ziko wapi ili waweze kuziondoa changamoto kwasababu mradi unategemeea na matumizi ya fedha mbazo zimepangwa.

“Tunatathimi, tunaangalia utekelezaji wa mwaka mzima, changamoto ziko wapi, tumefanyaje kazi, kama tumefanya vizuri tunapongezana lakini changamto ndogondogo hazikosekani  ndo maana tuko hapa kujadili na waratibu wote wa halmashauri zote 184 pamoja na wahasibu kwasababu hzi kazi lazima turipoti”. Amesema Dkt.Mwanahamisi.

About the author

Alex Sonna