marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Deneme Bonusu

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

jupiterbahis

sweet bonanza oyna

Featured Kitaifa

WANANCHI WALIOVAMIA ZIWA RUKWA WAONDOSHWE- RC MKIRIKITI

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti akizungumza kuhusu utunzaji wa mazingira ambapo ameagiza wananchi waliovamia eneo la Ziwa Rukwa waondoshwe ndani ya siku 30.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa ACP Theopista Mallya akichangia mada kwenye kikao cha wadau wa mazingira juzi mjini Sumbawanga.

Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Rukwa  Swagile Msananga akiwa kwenye kikao cha wadau wa mazingira ambapo ameshauri halmashauri kutenga fedha kwa ajili utekelezaji mipango ya matumizi bora ya ardhi hatua itakayosaidia kupunguza athari za uharibifu wa mazingira.

Askofu wa KKKT Dayosisi Ziwa Tanganyika Ambwene Mwaipopo akishiriki kikao cha tathmini ya utunzaji mazingira na misitu katika mkoa wa Rukwa juzi mjini Sumbawanga.

Sehemu ya wadau wa mazingira na misitu kwa wakiwa kwenye kikao cha tathmini ya utunzaji misitu na mazingira ambapo walipitisha azimio la kuwaondosha wananchi wote waliovamia vyanzo vya mji ikiwemo Ziwa Rukwa.
( Habari na Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa
…………………………………………………

Na. OMM Rukwa

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti ametoa muda wa siku Thelathini kwa wananchi wanaofanya shughuli za kilimo na makazi ndani ya eneo la mita Sitini kando ya Ziwa Rukwa kuondoka kwa kuwa wanasababisha uharibifu ikiwemo kupungua kwa kina cha ziwa hilo.

Mkirikiti alitoa kauli hilo juzi (08 Aprili 2022) mjini Sumbawanga wakati wa kikao cha wadau wa mazingira kilicholenga kuweka mikakati ya kunusuru uharibifu wa misitu na vyanzo vya maji kote mkoani.

Alisema ni wakati sasa kwa viongozi wa wilaya ya Sumbawanga wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Sebastian Waryuba kwenda na kuanza kutoa elimu kwa wananchi kupisha maeneo waliyovamia kwenye ukanda wa ziwa Rukwa kwa mujibu wa Sheria.

“Tuhakikishe eneo la mita Sitini kando ya Ziwa Rukwa likiwa bila watu wanaoishi au kufanya shughuli za kilimo na mifugo. Wote waliovamia waondolewe ndani ya siku 30 na nipatiwe taarifa ya utekelezaji .Viongozi nendeni mkasimamie sheria bila kuonea wananchi, “alisisitiza Mkirikiti.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Bonde la Ziwa Rukwa ilisema ziwa hilo lina ukubwa wa mita 88,000 ambapo lina kina cha mita tisa (9) ambazo zinaendelea kushuka kwa kasi kutokana na shughuli za binadamu hivyo tope jingi kujaa.

“Kwa upande wa Ziwa Rukwa kumekuwa na uharibifu mkubwa wa misitu ya Lyamba lya Mfipa hali inayosababisha ziwa Rukwa wakati mwingine kujaa tope. Hivyo wadau wa mazingira mnayo nafasi ya kuhakikisha kuwa mnawaelimisha wananchi kuutunza vyanzo hivi vya maji kwani maji ni uhai” Mkirikiti akihitimisha hotuba yake.

Akizungumza kuhusu uharibifu katika bonde la Ziwa Rukwa, Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Sebastian Waryuba alisema ni kweli Mifugo, kilimo kando ya ziwa hilo pamoja na makazi yanaathiri uhai wa ziwa hilo.

Waryuba aliongeza kusema atatekeleza kazi ya kutoa elimu kwa wananchi wote waliovamia eneo hilo kwa kuwapa elimu juu ya sheria inavyotaka watu wakae umbali wa mita 60 toka ziwani na kuwa kazi hii itafanyika kwa weledi mkubwa.

Kilian Swai ni Afisa Utekelezaji toka Timu ya Mwanasheria Watetezi wa Mazingira kwa Vitendo (LEAT) alisema uharibifu mkubwa wa mazingira unaendelea katika Misitu vya Lyamba lya Mfipa ambako ndio chanzo cha ziwa Rukwa usipodhibitiwa ziwa hilo litatoweka ndani ya miaka 50 ijayo.

Swai aliongeza kusema taasisi yake inafanya kazi na wananchi wa maeneo ya msitu wa Lyamba lya Mfipa kwa kugawa miche ya miti ya matunda na uhifadhi pamoja na kuisaidia kuwekwa kwa mpango wa matumizi bora ya ardhi ili wananchi wasiendelee kuharibu mazingira .

Swai alisema taasisi hiyo imefanikiwa kusambaza miche ya miti 195,000 kati ya lengo la miche 300,000 ili kuhifadhi eneo la msitu wa Lyamba lya Mfipa  ili wananchi watunze mazingira.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa ,Kamishna Msaidizi wa Polisi Theopista Mallya alishauri wataalam wa mazingira kutoa elimu kwa wananchi ili watambue kuwa kuvamia maeneo ya vyanzo vya maji na Misitu ni kuvunja sheria kunakosababisha uwepo wa makossa ya jinai.

Kwa mujibu wa Sheria ya Misitu ya namba 14 ya mwaka 2002 inakataza uharibifu wa Misitu unaotokana na ukataji holela wa miti kwenye maeneo yaliyohifadhiwa ikiwemo vyanzo vya maji.

About the author

Alex Sonna