Featured Kitaifa

GARI YA MBUNGE WA MASASI YATEKETEA KWA MOTO

Written by mzalendoeditor

Mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa leo Machi 27, 2022.

Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.

Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika

Endelea kufuatilia mzalendo kwa taarifa zaidi

About the author

mzalendoeditor