Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Uncategorized

MBUNGE WA BUTIAMA AWATOA HOFU WANANCHI JUU YA UTUMIAJI WA MTO MARA

Written by Alex Sonna

Mbunge wa Jimbo la Butiama, Mhe. Jumanne Sagini (MB) amabye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akikagua sehemu ya Mto Mara uliopo katika Daraja la Kirumi lilioathiriwa na madaliko ya Maji katika Kijiji cha Kirumi, Wilaya ya Butima leo ikiwa ni moja ya Ziara yake Mkoani Mara.

Mbunge wa Jimbo la Butiama, Mhe. Jumanne Sagini (MB) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kirumi na Kijiji cha Kisakwe leo kwenye mkutano na wananchi wa jimbo lake.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Butiama Mkaruka Hamis Kura akizungumza na wananchi wa jimbo la Butiama leo katika Mkutano na wananchi hao katika Kijiji cha Kirumi leo, Machi 20, 2022.

…………………………………………..

Na Mwandishi wetu.

Mbunge wa Jimbo la Butiama (MB) Mhe. Jumanne Abdallah Sagini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amewataka wananchi wa jimbo lake la Butiama kuondoa hofu kuhusu Mto Mara uliokuwa unasadikika kuwa na sumu.

Akizungumza na Wananchi wa jimbo lake la Butiama amewaomba kuamini taarifa iliyotolewa na Kamati Maalumu ya Kitaifa iliyoundwa na Serikali kuchunguza mabadiliko ya Maji ndani ya Mto Mara iliyotoa taarifa kwamba chanzo cha mabadiliko katika mto huo ni shuguli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

“Jambo hili Serikali imetuondolea hofu tuamini kwamba tuko salama, Nasisitiza hakuna serikali duniani inapanga kuua raia wake, tahadhari zote zilizotolewa ilikuwa ni kujiridhisha na tuhuma hizo. Mto Mara upo salama mnaweza kuendelea kutumia ” alisema.

Mbunge Sagini ameyasema hayo wakati wa mikutano na wananchi wa Kijiji cha Wegero, kijiji cha Buswahili, Kijiji cha Kirumi, Kijiji cha Kitasakwa na kijiji cha Kwisero vilivyopo katika Wilaya ya Butiama baada ya kutembelea sehemu za Mto huo zilizoathiriwa kwenye jimbo lake la Butiama ikiwa ni moja ya ziara yake Mkoani Mara.

Aidha amewauliza wananchi hao kama kuna madhara makubwa yaliyotokea kwa mifugo yao baada ya kutumia maji ya mto huo na kuwaeleza kuwa kama mto huo ulikuwa una sumu basi ni lazima mifugo ingedhurika.

Hata hivyo amewasisitiza wananchi wa jimbo la Butiama kuhakikisha wanashirikia katika Sensa ya Watu na Makazi ifikapo mwezi Agosti 2022. 

“Sensa ni muhimu sana itasaidia Serikali kupata taarifa za msingi zitakazosaidia kuleta Maendeleo ya nchi”

Naye Katibu wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Butiama, Mkaruka Hamisi Kura alisema kwamba majibu yaliyotolewa na Kamati Maalumu ya Kitaifa iliyoundwa na Serikali yanaendana na kilichozungumzwa na mwananchi wa kijiji cha Wegero aliyesema kabla ya ripoti hiyo kutangazwa.

Mwananchi huyo wa Kijiji cha Wegero anayeitwa Juma Waitaro alisema kuwa chanzo cha mchafuko wa Maji ya Mto Mara ni mimea aina ya magugumaji kwenye Mto huo kukauka kutokana na ukame na kisha kurundikana kwa muda mrefu ndani ya maji na kuchanganyika na vinyesi vya Mifugo. Mvua ziliponyesha zilitibua mimea hiyo na kupelekea mchafuko wa maji ndani ya mto huo.

“Mto unakitu inaitwa ‘Eminyohu lulu itende’ na lenyewe watu wanachimba samaki wadogo wadogo wakati wanachimba yale maozo yanakuwepo zilichimbwa mahala pengi tuu, lakini sasa maji yalipokuja yalikusanya vile vinyesi vya mifugo yakaingia kwenye mto yakakutana na yale maozo ya majani”

About the author

Alex Sonna