Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casibom

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

bodrum escort

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

RUWASA SUMBAWANGA YAKAMILISHA MIRADI 14 YA MAJI 

Written by Alex Sonna

Mtambo wa umeme wa jua uliokamilika kujengwa na RUWASA Wilaya ya Sumbawanga katika chanzo cha maji kwenye mradi wa kijiji cha Mponda kata ya Majengo Manispaa ya Sumbawanga ambapo watu 1,768 wananufaika.

Meneja wa RUWASA Wilaya ya Sumbawanga Mhandisi Jonas Maganga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) akiwa juu ya tanki la maji katika kijiji cha Kisa Kata ya Milepa ambapo mradi huo umekamilika na watu 6,901 wananufaika.

Meneja wa Ruwasa Sumbawanga Mhandisi Jonas Maganga akipanda kukagua tanki la kuhifadhia maji lililokamilika kujengwa na Ruwasa Sumbawanga katika kijiji cha Kisa kata ya Milepa lenye uwezo wa kuhifadhi lita 225,000 za maji juzi wakati wa ziara ya waandishi wa habari ikiwa ni maandalizi ya Wiki ya Maji.

Wananchi wa Kijiji cha Nankanga wilaya ya Sumbawanga wakipata huduma ya maji kufuatia Ruwasa kukamilisha mradi huo hivi karibuni .

Wananchi wa kijiji cha Lwanji kata ya Mtowisa wilaya ya Sumbawanga wakichota maji kufuatia mradi kukamilika baada ya serikali kuipatia Ruwasa fedha katika mwaka 2021/22.

Mhandisi Jonas Maganga ambaye ni Meneja wa Ruwasa Sumbawanga akikagua koki ya maji katika kijiji cha Kipenzi kata ya Mfinga wakati wa ukaguzi wa mradi huo juzi kufuatia kukamilika kwake. 

Mtaro wa kusambaza mabomba ya maji unaoendelea kuchimbwa katika mradi wa maji wa kijiji cha Mkwiro wilaya ya Sumbawanga unaotokana na fedha za Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko-19 ambapo Ruwasa imepata shilingi Milioni 497 kutekeleza mradi huo uliofika asimilia 15.  
(Habari na Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa)

……………………………………….

Na. OMM Rukwa

Katika kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Awamu ya Sita, wananchi wa Sumbawanga wamefanikiwa kupata uhakika wa maji safi na salama baada ya Ruwasa wilaya ya Sumbawanga kukamilisha miradi 14.

Akizungumza na waandishi wa habari jana (12 Machi,2022) Meneja wa Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilaya ya Sumbawanga Mhandisi Jonas Maganga alisema jumla ya miradi 14 imekamilika na kuanza kutoa maji  mwaka 2021/2022.

Mhandisi huyo aliongeza kusema serikali ya Awamu ya Sita imewawezesha kupata fedha ambapo wamekamilisha miradi 14 ya zamani na kujenga miradi mipya minne hatua yaliyowezesha watu 63,000 kupata maji safi katika vijiji vya Sumbawanga.

“Katika mwaka 2021/22 serikali ilitupatia shilingi Bilioni 2.8 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji wilaya ya Sumbawanga ambapo vijiji 114 vya halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga na vijiji 24 vya Manispaa ya Sumbawanga vimenufaika” alisema Mhandisi Maganga.

Mhandisi Maganga alisema kati ya fedha hizo shilingi Bilioni 1.8 kwa miradi nane (6) mpango wa matokeo (BfR), Shilingi Milioni 600 kwa ajili ya miradi minne (4) ya Lipa kwa matokeo ya haraka (PbR) na shilingi Milioni 400 toka Serikali Kuu

Katika hatua nyingine Mhandisi Maganga alisema mafanikio mengine ni kupitia jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan, Wakala ulipatiwa shilingi Milioni 909 za Mpango wa Maendeleo na Ustawi wa Taifa na Mapambano ya UVIKO-19 kwa ajili ya miradi ya maji kwenye vijiji viwili.

Kati ya fedha hizo za UVIKO-19 Ruwasa Sumbawanga inatekeleza mradi wa maji wa kijiji cha Mkwiro kwa gharama ya shilingi Milioni 495 ambapo utanufaisha wananchi 2,444 na kuwa kazi ya ujenzi wa chanzo imeanza na usambazaji mabomba yenye urefu wa kilometa 8 na vituo vya kuchotea maji 11 unaendelea na umefikia asilimia 15.

Mradi mwingine unaonufaika na fedha hizo ni wa kijiji cha Mwenzusi Manispaa ya Sumbawanga ambapo jumla ya shilingi Milioni 497 zinatumika kukarabati chanzo cha maji, kununua pampu, kuweka mfumo wa umeme jua na kujenga vituo 16 vya kuchotea maji.

“ Mradi huu wa Mwenzusi utakamilika mwezi Juni mwaka huu ambapo jumla ya watu 7,599 pamoja na taasisi nne za serikali zitanufaika  hivyo Ruwasa  tunamshuru sana Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuithamini sekta ya maji na kuwezesha ipate fedha nyingi” alisisitiza Mhandisi Maganga.

Kuhusu changamoto za Ruwasa Mhandisi Maganga alitaja kuwa ni pamoja na uchafuzi wa vyanzo vya maji kupitia shughuli za binadamu ambazo kwa Sumbawanga ni kilimo na Mifugo.

Kwa Sumbawanga ambayo ina vyanzo vya maji ya mseleleko Mhandisi huyo alisema hali ya uchafuzi wa vyanzo vya maji inapelekea kipindi cha masika maji kuwa na uchafu na matope hatua inayoleta manung’uniko toka kwa wateja.

Ikiwa ni maandalizi ya Wiki ya Maji Kitaifa mwaka huu itakayoanza Machi 16 hadi 22 , Waandishi wa habari walifanikiwa kufanya ziara katika vijiji vya Mkwiro, Nankanga, Milepa na Lwanji vya Sumbawanga kuangalia utekelezaji wa miradi hiyo.

Akieleza faida za mradi ya maji Florenci Magambo ambaye ni Mtendaji wa Kijiji Nkwilo Sumbawanga alisema upatikanaji wa maji utasaidia kuondoa migogoro ndani ya familia hususan kwa akina mama na kuomba mkandarasi akamilishe mradi huo kwa haraka.

Mkazi kijiji cha Lwanji Andrew Kasamnya alisema changamoto za maji iliyokuwepo miaka mingi ya ukosefu wa maji sasa imekwisha baada ya maji kuanza kutoka kwa kazi ya Ruwasa

Naye Daniel Mwendapole mkazi wa Kijiji cha Mkwilo alisema sasa kuna uhakika wa maji na alishukuru serikali kwa kufanikisha miradi hiyo ya maji hivyo kuwasaidia kupunguza magonjwa.

Akizungumza kuhusu mikakati wa RUWASA kudhibiti uharibifu wa mazingira kwenye vyanzo vya maji Msimamizi wa Vyombo vya Watumiaji Huduma za Maji Ngazi ya Jamii Kumbuka Daudi alisema tayari wanashirikiana na serikali za vijiji na kata kutoa elimu ya ulinzi wa vyanzo vya maji kwa kuacha kulima pia kuchoma moto Misitu.

Kumbuka alisema katika Wiki ya maji mwaka huu 2022 wamepanga kufanya mafunzo shirikishi na viongozi wa vijiji 29 vya Sumbawanga wakiwemo watendaji wa vijiji, kata na madiwani ili wasaidie udhibiti wa uharibifu wa vyanzo vya maji.

Ruwasa wilaya ya Sumbawanga inahudumia vijiji 114 vya Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga na vijiji 24 vya Manispaa huku kukiwa na vijiji 38 bado havijapata huduma za maji ambapo hali ya upatikanaji maji umefikia asilimia 68 mjini na asilimia 50 vijijini.

About the author

Alex Sonna