slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

romabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

taksimbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

casibom

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

casibom giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

holiganbet

cratosroyalbet

grandpashabet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

gameofbet

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

pusulabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKENDA ATETA NA WADAU BINAFSI WA UCHAPAJI,UUZAJI NA USAMBAZAJI VITABU NCHINI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda, akielezea lengo la Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi wa  Idara ya usimamizi wa Elimu Sekisheni ya Elimu ya awali na Msingi kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI ambaye amemwakilishi Katibu Mkuu TAMISEMI Bi.Susana Nussu,akitoa neno wakati wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe,akizungumza wakati wa Mkutano wa Wadau  Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Kamishna wa Elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa,akizungumzia dhamira ya mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,akimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wachapishaji Vitabu Tanzania, (PATA )Bw.Gabriel Kitu wakati akiwasilisha maoni na mapendekezo wakati wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,akimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wauza Vitabu Tanzania (BSAT) Bw.Albert Mwaipyana akiwasilisha maoni na mapendekezo wakati wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Uthibiti ubora wa shule kutoka Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Euphrasia Buchuma,akifafanua jambo kwa washiriki wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Morale Foundation for Education and Training (MOFET) Bw.Moses Kyando akichangia mada wakati wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Mhadhiri Msaidizi na Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamivu Chuo cha Biashara Godfrey Bukagile,akitoa maoni yake wakati wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda, akijibu hoja mbalimbali wakati wa Mkutano wa Wadau Binafsi wa Uchapaji,Uuzaji na Usambazaji wa Vitabu nchini kikao kilichofanyika leo March 12,2022 jijini Dodoma.

 

………………………………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,  Prof. Adolf Mkenda, amefanya mkutano na wadau wa uchapishaji, usambazaji na uandishi wa vitabu vya shule ili kujadili kwa pamoja namna ya kuondoa changamoto ya upungufu wa vitabu na kuongeza utamaduni wa usomaji.

Akizungumza katika mkutano huo uliofanyika Jijini Dodoma, Prof. Mkenda amewataka wadau hao kujadili kwa uwazi na ukweli juu ya changamoto zilizopo ili ziweze kutatuliwa na kuwezesha upatikanaji wa vitabu vyenye ubora, kwa wakati na bei nafuu hasa vya shule.

Prof.Ndalichako amesisitiza kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha inawezesha shughuli za vitabu kwenda vizuri ili kuongeza idadi ya vitabu shuleni na kukuza usambazaji na usomaji wa vitabu kwa kuwa ubora wa elimu unakwenda sambamba na upatikanaji wa vitabu bora.

“Serikali inataka kuona Watanzania wengi zaidi wakiandika vitabu na kuvisambaza kama ilivyokuwa zamani ambapo watu walikuwa wanasoma zaidi lakini siku hizi imekuwa kinyume kabisa, tunataka utamaduni huo urudi sasa,” amesisitiza Prof. Mkenda.

 Prof. Mkenda amesema Serikali ilielekeza kuwa na kitabu kimoja cha Kiada kwa kila somo kinachotumika nchini kilichoandaliwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na kuruhusu matumizi ya vitabu vingine vya ziada vinavyoandaliwa na wachapishaji binafsi na kupata ithibati kutoka mamlaka husika.

Waziri Mkenda amesema Serikali haiwezi kufunga milango ya vitabu vingine vyenye ithibati kutumika shuleni kama vitabu vya ziada, hivyo ameagiza maafisa wote ambao wamekuwa wakizuia matumizi ya vitabu vyenye ithibati kutoka kwa waandishi binafsi kuacha mara moja na kwamba ambaye atapatikana akizuia vitabu hivyo atachukuliwa hatua.

Aidha ameagiza orodha ya vitabu vilivyopitishwa na mamlaka kutumika kama vya ziada visambazwe ili kuwezesha wazazi na walezi kuchagua na kuwanunulia watoto wao.

“Nasisitiza kuwa wazazi wapewe taarifa ya vitabu vya ziada vyenye ithibati ili waamue wenyewe lakini si kuwalazimisha kununua aina moja ya vitabu. Ni muhimu kuhimiza vitabu vingi zaidi kutumika ili kuwezesha watu kujua mambo mengi zaidi,” ameongeza Prof. Mkenda.

Hata hivyo Prof.Mkenda amemuagiza Kamishna wa elimu nchini Dkt.Lyabwene Mtahabwa,kuunda timu ndogo itakayoshirikisha Chama cha Wachapishaji nchini(PATA) na Chama cha Wauza Vitabu Tanzania (BSAT) ili kutatua kero za upatikanaji wa vitabu.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba amesema wao kama mamlaka ya utoaji ithibati ya vitabu vya ziada wamezipokea changamoto zote zilizotolewa na wadau hao na kwamba watazifanyia kazi ili kuwezesha upatikanaji wa vitabu shuleni kwa wakati.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wachapishaji Vitabu Tanzania, Gabriel Kitu amemshukuru Waziri kwa kufanya mkutano huo muhimu kwa mustakabali wa elimu nchini na kwa kuwapa nafasi ya kutoa changamoto wanazokutana nazo katika mchakato wa uandishi wa vitabu.

Kitu amesema changamoto kubwa inayojitokeza kwa upande wao ni kwa baadhi ya shule kuogopa kutumia vitabu vya wachapishaji binafsi vyenye ithibati, hivyo ameiomba Wizara kutoa maelekezo ya kuruhusu walimu kutumia vitabu hivyo kwa wanafunzi.

About the author

Alex Sonna