marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

perabet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

celtabet

jojobet

Featured Kimataifa

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 13 WA KAMATI YA UONGOZI WA MKATABA WA LUSAKA WA AFRIKA WA KUKABILIANA NA UJANGILI NCHINI ZAMBIA

Written by Alex Sonna

Kaimu Mkurugenzi Msaidizi –Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Wanyamapori na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kitaifa cha Kupambana na Ujangili, Robert Mande akiwasilisha mada kuhusu mikakati ya Tanzania ya Kupambana na Ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori na mimea katika Mkutano wa 13 wa Kamati ya Uongozi wa Mkataba wa Lusaka wa Afrika wa Kukabiliana na Ujangili unaofanyika jijini Livingston nchini Zambia.

Kaimu Mkurugenzi Msaidizi –Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Wanyamapori na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kitaifa cha Kupambana na Ujangili, Robert Mande (katikati) wakiteta jambo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Grace Farms Foundation, Rob Khattabi walipokutana katika Mkutano wa 13 wa Kamati ya Uongozi wa Mkataba wa Lusaka wa Afrika wa Kukabiliana na Ujangili unaofanyika jijini Livingston nchini Zambia. Kushoto ni Mhifadhi Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Sikujua Ramadhani(kushoto).

Kaimu Mkurugenzi Msaidizi –Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Wanyamapori na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kitaifa cha Kupambana na Ujangili, Robert Mande (kulia) na Mhifadhi Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Sikujua Ramadhani(kushoto) wakifuatilia katika Mkutano wa 13 wa Kamati ya Uongozi wa Mkataba wa Lusaka wa Afrika wa Kukabiliana na Ujangili unaofanyika jijini Livingston nchini Zambia.

Washiriki wa Mkutano wa 13 wa Kamati ya Uongozi wa Mkataba wa Lusaka wa Afrika wa Kukabiliana na Ujangili wakifuatilia mada jijini Livingston nchini Zambia.

Kaimu Mkurugenzi Msaidizi –Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Wanyamapori na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kitaifa cha Kupambana na Ujangili, Robert Mande (wa tatu kutoka kulia) katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano wa 13 wa Kamati ya Uongozi wa Mkataba wa Lusaka wa Afrika wa Kukabiliana na Ujangili unaofanyika jijini Livingston nchini Zambia.

………………………………………………..
Tanzania inashiriki katika mkutano wa 13 wa Kamati ya Uongozi ya Mkataba wa Lusaka(Lusaka Agreement Task Force-LATF) katika kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa mazao ya wanyamapori na mimea ndani na nje ya Bara la Afrika unaofanyika jijini Livingston nchini Zambia.

Lengo la mkutano huo ni kuendelea kuimarisha ushirikiano wa Kikanda na kuweka nguvu ya pamoja katika kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa mazao ya wanyamapori na mimea ndani na nje ya Bara la Afrika tangu kuazishwa kwa mkataba huo mwaka 1994.

Akiwasilisha mada katika mkutano huo, Mkurugenzi Msaidizi –Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Wanyamapori na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Kitaifa cha Kupambana na Ujangili Wanyamapori na Mazao ya Misitu, Bw. Robert C.Mande, amesema ili kukabiliana na ujangili, Serikali imeendelea kutoa kipaumbele kwa uhifadhi wa Raslimali za Misitu na Wanyamapori kwa kuimaimarisha ulinzi na nidhamu kwa watumishi ikiwa ni pamoja na kuanzisha Jeshi la Uhifadhi(JU), kushirikisha Vyombo vya Ulinzi na Taasisi za Kisheria kupitia Kikosi Kazi cha Kitaifa cha Kuzuia na Kupambana na Ujangili nchini Tanzania tangu mwaka 2016.

Ameongeza kuwa ili kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori Serikali imeendelea kugharimia mafunzo na utendaji wa JU na Kikosikazi, kuwezesha uratibu, ukusanyaji na kubadilishana habari kuhusiana na matukio ya ujangili na kuwezesha operesheni za pamoja za kiintelijensia za kuzuia na kupambana na ujangili na uhalifu unaoambatana(predicate offenses).

Aidha, kupitia operesheni za kukamata majangili amesema Serikali ilifanikiwa kukamata majangili wakubwa akitolea mfano wa Wachina wawili ambao walifungwa miaka 30 jela kwa kosa la kumiliki vipande 706 (kilo 2,915) vya meno ya tembo kinyume cha sheria.

Amesema operesheni hizo pia zimesaidia kupunguza ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori na mimea hivyo kuwezesha kuongezeka kwa idadi ya wanyamapori.

“Katika kipindi cha mwaka 2018 hadi 2021 operesheni 10 za kijasusi na operesheni kadhaa zilifanyika kwa kushirikiana na nchi jirani za Malawi, Msumbiji, Uganda, Kenya, Zambia, Burundi na Rwanda. Operesheni zilizofanywa na JU na Kikosikazi ziliwezesha zaidi ya watuhumiwa 7000 kukamatwa, jumla ya silaha 444 pamoja na risasi 1500 za aina mbalimbali ambazo zimekuwa miongoni mwa sababu zilizochangia ujangili nchini Tanzania.”Bw Mande amesisitiza.

Amesema ni vyema kuendelea kushirikiana kwa nchi za Afrika kukabiliana na tatizo la ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori na mimea.

“Tunahitaji kukuza ushirikiano wenye tija kwa taasisi za wanyamapori na misitu utakaowezesha nchi zetu kufikia malengo ya pamoja katika mapambano dhidi ya ujangili na biashara haramu ya wanyamapori na mimea” Bw. Mande amesisitiza.

Mkutano huo umehudhuriwa na Wanachama kutoka nchi za Congo, Kenya, Lethotho, Liberia, Tanzania, Uganda na Zambia. Nchi zingine zilishiriki kama Waangalizi (Observers) ni Niger, Senegal, Angola, Malawi, Mozambique, Togo, na Nigeria.

About the author

Alex Sonna