marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betnano giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

betist

casino siteleri

Kitaifa

WAZIRI MBARAWA ATAKA DARAJA LA WAMI KUKAMILIKA JULAI,2022

Written by Alex Sonna

Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa Daraja la Wami Mkoani Pwani. Daraja hilo lenye urefu wa Mita 510 pamoja na barabara unganishi linajengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 67 na linatarajiwa kukamilika mwezi Julai 2022.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akimsikiliza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Baraka Mwambage alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Wami, mkoani Pwani.

Mkandarasi wa Kampuni ya Power Construction Corporation Limited ya China akimweleza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa hatua za ujenzi wa Daraja la Wami, wakati Waziri huyo alipokagua maendeleo ya ujenzi huo mkoani Pwani. Kushoto ni Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Baraka Mwambage.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Baraka Mwambage na Mkandarasi Kampuni ya Power Construction Corporation Limited ya China wakati alipokagua maendeeleo ya ujenzi wa Daraja la Wami, Mkoani Pwani.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa Watumishi wa  Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani, kuhusu uadilifu na ubunifu katika utendaji mara baada ya  kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Wami, Mkoani Pwani.

(PICHA NA WUU)

………………………………………………….

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amemtaka Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Pwani Mhandisi Baraka Mwambage kumsimamia kikamilifu mkandarasi anayejenga Daraja la Wami na barabara unganishi kampuni ya Power Construction Corporation Limited ya nchini China ili akamilishe ujenzi huo ifikapo mwezi Julai mwaka huu.

Akizungumza mara baada kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 75.7 Prof. Mbarawa amesema kazi zilizobaki zifanyike usiku na mchana ili ujenzi huo  ukamilike haraka na kwa viwango vilivvyokusudiwa.

“Daraja hili lenye urefu wa Mita 510 na barabara unganishi zenye urefu wa Kilomita 3.8, vyote vikamilike ifikapo Julai mwaka huu’ amesisitiza Waziri Prof Mbarawa.

Waziri Prof. Mbarawa amesema Serikali itaendelea kutoa fedha kwa wakati kwa miradi yote inayoendelea  nchini ili kuwawezesha wakandarasi kukosa visiingizio vya kuchelewesha miradi nchini na kuwawezesha wananchi kunufaika na fursa zinazoletwa na miradi hiyo.

“Tumejipanga kuhakikisha miradi yote ya ujenzi wa barabara, mdaraja na vivuko inayoendelea inakamilika kama ilivyokusudiwa, hivyo wote mliopata bahari ya kusimamia miradi hiyo fanyeni kazi kwa uzalengo ilikupata thamani ya fedha”amesisitiza Waziri Prof. Mbarawa.

Aidha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu kwa namna anavyowezesha miradi ya kimmkakati ya WIzara ya Ujenzi na Uchukuzi kutekelezwa na kuitaja miradi hiyo kuwa ni Barabara ya Bagamoyo-Pangani Tanga hadi Lamu, Daraja la Kigongo-Busisi, barabara ya mzunguko mkoani Dodoma, Viwanja vya ndege vya Msalato, Mtwara, Musoma, Songea na Iring ambayo ikikamilika itaibadili sura ya Tanzania kiuchumi na kijamii.

Naye Meneja wa TANROADS Mkoa wa Pwani Mhandisi Baraka Mwambage amesema ujenzi wa daraja jipya la Wami lenye upana wa kuwezesha magari mawili kupishana  kwa wakati mmoja utaondoa adha ya daraja la zamani lililojengwa mwaka 1959 ambalo haliendani na mahitaji ya sasa.

Mhandisi Mwambage amesema daraja jipya litapunguza ajali na msongamano katika barabara ya Chalinze hadi Segera na hivyo kuongeza tija kwa watumiaji wa barabara hiyo.

“Faida nyingine tunayoipata kutokana na mradi huu ni kuwezesha wataalam wetu kupata utaalam wa kujenga madaraja makubwa ya kiwango hiki na zaidi ya wafanyakazi 400 wamepata ajira kulipitia mradi huu” amesema Mhandisi Mwambage.

Ujenzi wa daraja la Wami ni mwendelezo wa mikakati ya Serikali ya kufungua barabara kuu ili kuwezesha huduma za usafiri na uchukuzi kuwa za uhakika na zinazoaminika na hivyo kuvutia wawekezaji na kurahisisha huduma za uchukuzi nchini.

About the author

Alex Sonna