Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casibom

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

palacebet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

MANGULA AONGOZA MAZIKO MWENYEKITI WA CCM KONDOA

Written by Alex Sonna

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Philip Mangula,akizungumza wakati akiwaongoza mamia ya wakazi wa wilaya Kondoa kwenye maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Mohamed Kova.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Antony Mtaka,akizungumza wakati wa maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Kondoa  Mohamed Kova.

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Dk.hamis Mkanachi ,akizungumza wakati wa maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Kondoa  Mohamed Kova.

Aliyekuwa Kamanda wa Jeshi la Polisi wa kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova, akizungumza pamoja na kuwashukuru viongozi na wananchi waliojitokeza kwenye mazishi ya aliyekuwa kaka yake Mzee Mohamed Kova

Mtoto Wa Marehemu Mzee Mohamed Kova, Ibrahim Kova akisoma wosia wa baba yake katika mazishi yaliyofanyika Kondoa nyumbani kwa marehemu.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Mhe. Philiph Japhet Mangula (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Antony Mtaka (kushoto) wakiwa kwenye mazishi ya Mzee Mohamed Kova ambaye alizikwa jana 4 Machi 2022. Kondoa

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye msiba wa Mzee Mohamed Kova ambaye alizikwa jana 4 Machi 2022. Kondoa

…………………………………………………..

Na Bolgas Odilo-KONDOA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Philip Mangula juzi  ameongoza mamia ya wakazi wa wilaya Kondoa kwenye maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Mohamed Kova.

Akizungumza wakati akitoa salamu za chama Mangula alisema CCM imempoteza kiongozi bora ambaye pengo lake halitazibika.

“Mungu wa ajabu sana zimepita siku 30 tu tangu nilipokutana na Kova enzi za uhai wake na alinitania kwasababu nilikuwa mwalimu wake wa chuo Cha uongozi Kivukoni wakati alipoteuliwa kushika wadhifa wa Katibu tarafa”alisema

Aidha Mangula alisema Kova enzi za uhai wake alikuwa kiongozi na mwanasiasa mkomavu na sasa amemaliza safari yake ya duniani naameondoka na heshima yake.

Kadhalika, aliwataka wanachama wa cha hicho wilya ya Kondoa kuenzi kwa kuendeleza mema aliyokuwa akifanya wakati wa uhai wake.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka, akitoa salamu za mkoa alisema Mzee Kova atakumbukwa kwa mambo mengi hasa katika Chama na serikali.

“Kova amelala tunahubiri ujenzi wa misikiti, madarasa na vitu vingi naomba msiba huu uwe funzo kwetu tuhakikishe tunafanya mambo mazuri ili siku unapokufa unawapunguzi viongozi wa dini kutunga uongo katika mahubiri ya msiba wako”alisema Mtaka

Mtaka alisema seriklai pamoja na chama kimepoteza mtu ambaye matendo yake yataishi milele.

“Tuendeleee kumtunzia heshima na kuhakikisha nyumba yake inatunzwa”alisema Mtaka

Pia, Mtaka alisema kutoka na urafiki aliokuwa nao na marehemu atahakikisha siku yake ya arobaini yake analeta Ng’ombe.

“Nakama ratiba zangu zitakuwa hazijanibana nitakuja kwasababu kiongozi ambaye aliofanya kazi nzuri na tunawatoa pole Kwa serikali,CCM, na familia na tunaomba mpate kiongozi mwingine ambaye ataziba pengo lake”alisisitiza Mtaka

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Dk.Hamis Mkanachi alisema msiba huo ni mkubwa na ni pigo kubwa kwasababu wamepoteza kiongozi mahili na mzalendo.

Alisema marehemu Kova alikuwa kiongozi ambaye alizifanya kazi zake kwa weledi hivyo maono yake na farsafa zake zitaendelea kuishi milele na wanamuombea kwa mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani.

“Msiba huu ni mkubwa na Kondoa tumepata pigo kwasababu tumepoteza kiongozi mahili ambaye aliipenda nchi yake na kufanya kazi kwa uzalendo na tunamuombea kwa mwenyezi mungu ampe pumziko la milele amina”alisema

Akisoma wasifu wa marehemu mtoto wake Ibrahim Kova, alisema baba yake alizaliwa Desemba 28 mwaka 1942 katika kijiji Cha Chakwe Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma.

Alisema baba yake amepita katika ngazi mbalimbali za uongozi na hadi umauti ulipomkuta alikuwa ni mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kondoa.

“Mzee Kova wakati wa uhai wake amelitumikia Taifa katika nyazifa mbalimbali za uongozi ikiwemo Chama na serikali na alikuwa mzalendo tunamuombea kwa Mungu apumzike kwa amani “alisema

Akitoa salamu kwa niaba ya familia mdogo wa marehemu Suleiman Kova, alisema anashukuru kwa viongozi wa Chama na serikali kuwakimbilia katika wakati huu mgumu.

“Nashukuru Makamu mwenyekiti Mzee Mangula kwa kuja kuungana nasi katika kipindi hichi kigumu nakumbuka juzi usiku saa nane kaka alinipiga akasema anaumwa sana na kwa hali ilivyo anaona kuwa hata pona hivyo amepiga kuniaga na kunikabidhi kuilea familia ya Mzee Kova kwa sababu mie ndiye nilikua makamu mwenyekiti wa familia”alisema Kona

About the author

Alex Sonna