marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

MANGULA AONGOZA MAZIKO MWENYEKITI WA CCM KONDOA

Written by Alex Sonna

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Philip Mangula,akizungumza wakati akiwaongoza mamia ya wakazi wa wilaya Kondoa kwenye maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Mohamed Kova.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Antony Mtaka,akizungumza wakati wa maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Kondoa  Mohamed Kova.

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Dk.hamis Mkanachi ,akizungumza wakati wa maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Kondoa  Mohamed Kova.

Aliyekuwa Kamanda wa Jeshi la Polisi wa kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova, akizungumza pamoja na kuwashukuru viongozi na wananchi waliojitokeza kwenye mazishi ya aliyekuwa kaka yake Mzee Mohamed Kova

Mtoto Wa Marehemu Mzee Mohamed Kova, Ibrahim Kova akisoma wosia wa baba yake katika mazishi yaliyofanyika Kondoa nyumbani kwa marehemu.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Mhe. Philiph Japhet Mangula (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Antony Mtaka (kushoto) wakiwa kwenye mazishi ya Mzee Mohamed Kova ambaye alizikwa jana 4 Machi 2022. Kondoa

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye msiba wa Mzee Mohamed Kova ambaye alizikwa jana 4 Machi 2022. Kondoa

…………………………………………………..

Na Bolgas Odilo-KONDOA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Philip Mangula juzi  ameongoza mamia ya wakazi wa wilaya Kondoa kwenye maziko ya aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Mohamed Kova.

Akizungumza wakati akitoa salamu za chama Mangula alisema CCM imempoteza kiongozi bora ambaye pengo lake halitazibika.

“Mungu wa ajabu sana zimepita siku 30 tu tangu nilipokutana na Kova enzi za uhai wake na alinitania kwasababu nilikuwa mwalimu wake wa chuo Cha uongozi Kivukoni wakati alipoteuliwa kushika wadhifa wa Katibu tarafa”alisema

Aidha Mangula alisema Kova enzi za uhai wake alikuwa kiongozi na mwanasiasa mkomavu na sasa amemaliza safari yake ya duniani naameondoka na heshima yake.

Kadhalika, aliwataka wanachama wa cha hicho wilya ya Kondoa kuenzi kwa kuendeleza mema aliyokuwa akifanya wakati wa uhai wake.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka, akitoa salamu za mkoa alisema Mzee Kova atakumbukwa kwa mambo mengi hasa katika Chama na serikali.

“Kova amelala tunahubiri ujenzi wa misikiti, madarasa na vitu vingi naomba msiba huu uwe funzo kwetu tuhakikishe tunafanya mambo mazuri ili siku unapokufa unawapunguzi viongozi wa dini kutunga uongo katika mahubiri ya msiba wako”alisema Mtaka

Mtaka alisema seriklai pamoja na chama kimepoteza mtu ambaye matendo yake yataishi milele.

“Tuendeleee kumtunzia heshima na kuhakikisha nyumba yake inatunzwa”alisema Mtaka

Pia, Mtaka alisema kutoka na urafiki aliokuwa nao na marehemu atahakikisha siku yake ya arobaini yake analeta Ng’ombe.

“Nakama ratiba zangu zitakuwa hazijanibana nitakuja kwasababu kiongozi ambaye aliofanya kazi nzuri na tunawatoa pole Kwa serikali,CCM, na familia na tunaomba mpate kiongozi mwingine ambaye ataziba pengo lake”alisisitiza Mtaka

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Dk.Hamis Mkanachi alisema msiba huo ni mkubwa na ni pigo kubwa kwasababu wamepoteza kiongozi mahili na mzalendo.

Alisema marehemu Kova alikuwa kiongozi ambaye alizifanya kazi zake kwa weledi hivyo maono yake na farsafa zake zitaendelea kuishi milele na wanamuombea kwa mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani.

“Msiba huu ni mkubwa na Kondoa tumepata pigo kwasababu tumepoteza kiongozi mahili ambaye aliipenda nchi yake na kufanya kazi kwa uzalendo na tunamuombea kwa mwenyezi mungu ampe pumziko la milele amina”alisema

Akisoma wasifu wa marehemu mtoto wake Ibrahim Kova, alisema baba yake alizaliwa Desemba 28 mwaka 1942 katika kijiji Cha Chakwe Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma.

Alisema baba yake amepita katika ngazi mbalimbali za uongozi na hadi umauti ulipomkuta alikuwa ni mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kondoa.

“Mzee Kova wakati wa uhai wake amelitumikia Taifa katika nyazifa mbalimbali za uongozi ikiwemo Chama na serikali na alikuwa mzalendo tunamuombea kwa Mungu apumzike kwa amani “alisema

Akitoa salamu kwa niaba ya familia mdogo wa marehemu Suleiman Kova, alisema anashukuru kwa viongozi wa Chama na serikali kuwakimbilia katika wakati huu mgumu.

“Nashukuru Makamu mwenyekiti Mzee Mangula kwa kuja kuungana nasi katika kipindi hichi kigumu nakumbuka juzi usiku saa nane kaka alinipiga akasema anaumwa sana na kwa hali ilivyo anaona kuwa hata pona hivyo amepiga kuniaga na kunikabidhi kuilea familia ya Mzee Kova kwa sababu mie ndiye nilikua makamu mwenyekiti wa familia”alisema Kona

About the author

Alex Sonna