marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet giriş

ibizabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

betwoon

deneme bonusu

İkimisli

onwin

nakitbahis

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

Grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

tipobet

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

betist

betist

Featured Kitaifa

DKT.SHEIN AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI WA KADI ZA KIELEKTRONIKI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA.

Written by Alex Sonna

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akigawa kadi za CCM za  Kielektroniki wanachama mbalimbali wa Mkoa wa Kaskazini Unguja.

********************

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein amewataka wanachama wa CCM kutofanya makosa ya kuwachagua viongozi wa chama kwa misingi ya ubaguzi  katika uchaguzi wa ndani unaotarajia kufanyika mwaka huu.  

Dk.Shein amesema wanachama wa CCM hawatakiwi kufanya makosa yakuchaguana katika uchaguzi huo kwa kubaguana kwa majina na badala yake wanatakiwa kuwachagua viongozi kwa kuzingatia uwezo na sifa.

Kauli hiyo ameitoa  wakati akizindua ugawaji wa kadi mpya za CCM za kieletroniki mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo alisema kuna haja ya kuhakikisha viongozi hao wanachaguliwa kwa kuzingatia sifa za uwezo wa utendaji na ukereketwa wa CCM kwa kuifahamu chama na misingi yake.

“Tujitahidi sana katika uchaguzi huu kuwa wa aminifu na wakweli tusiwe wababahishaji hasa kwa kuwatumikia watu sisi tunatasimamia maadili chama hichi kina historia ya misingi ya usawa na haki ya kuwatumikia watu,”alisema

Dk.Shein alisema kuna kazi kubwa mbele ya safari kwa kuwapata viongozi watakaongoza miaka mitano ijayo hivyo kuna haja ya kuwachagua watu ambao wapo tayari kukitumikia chama.

“Katika jambo hili nafikiria watu hawa tunawajua katika matawi yetu tuna wajua kwa upande wa wilaya tunajuana hata kwenye mkoa hivyo tusiwaweke watu wenye tabia ya kutumatuma hatumii muda kukitumikia CCM,”alisema

Dk.Shein alisema mabadiliko yanayotokea duniani ndio imeifanya CCM kuanza kutumia mfumo wa Teknolojia za Habari na Mawasiliano(TEHAMA) pamoja na kadi mpya za kieletroniki.

Alisema mfumo wa TEHAMA una mafanikio makubwa zaidi pamoja na umadhubuti wake na kwamba kuna haja ya kuanza kuingia kwenye mfumo huo ikiwemo matumizi ya kadi za kietroniki.

Makamu huyo Mwenyekiti wa alisema matumizi ya mfumo wa TEHAMA una faida kubwa ambapo taarifa za mwanachama zitaweza kubakia hata kama kadi yake ameipoteza.

“Tunatarajia kutoa kadi hizi mpya ili kupata wanachama zaidi na pia ili demokrasia ndani ya chama ikue hivyo chama makini kama CCM lazima kiwe na uhai kila siku kwa kupata wanachama wapya hata hivyo tunapaswa kusimamia misingi ya demokrasia,”alisema

Alisema misingi hiyo ya demokrasia ni pamoja na kuhakikisha inasimamia makusanyo zaidi ya mapato ndani ya chama kuwatumikia wananchi na  ufanyaji wa kazi kwa usanifu.

“Wapo wanaofikiria kuwa siku hizi CCM hatujitegemea bado sisi tunategemea na tuendelee kujitegemea mambo mbalimbali tumeweza hivyo kujitegemea ni jukumu letu tangu ASP na TANU,”alisema

Dk.Shein alisema wanachama wa CCM wanapaswa kuunga mkono serikali mbili kutokana na kuwa chama kinaongoza serikali hizo ikiwemo serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

“Tuunge mkono jitihada za serikali zetu kila hatua kutokana na kuwa zinaongozwa na CCM kuna watu wanafanya utani mfano suala la uchumi wa buluu ni sera ya CCM na ipo ndani ya ilani ya chama hivyo lazima tuunge mkono sote,”alisema

Alisema wanachama wanapaswa kutambua kuwa haiwezekani hukajeli jambo lako na kwamba wanachama wanatakiwa kuwa pamoja na kwenda pamoja katika kila hatua.

Kwa upande wake Mjumbe Mstaafu wa Kamati Maalum na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu Balozi Seif Ali Idd alisema kadi mpya za CCM za kietroniki ni nzuri kutokana na kuwa ni rahisi kutunzika.

“Katika uchaguzi huu wanachama mnatakiwa kuhakikisha mnachagua watu wenye uwezo wa kufanya kazi na si kutumikia matumbo yao kwa kufanya kazi kwa ushirikiano na upendo mkubwa ili kufanikisha dira za CCM,” alisema

Alisema kazi ambazo zinafanywa na serikali ya awamu ya nane ni nzuri na kwamba inaonyesha matumahini makubwa ya kuiona Zanzibar itakuja kuwa kubwa kutokana na utendaji wa kazi zinazofanywa kwa uweledi mkubwa.

About the author

Alex Sonna