Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

NABII JOSHUA ASHINDA URAIS UMOJA WA MITUME NA MANABII TANZANIA

Written by Alex Sonna

NA MWANDISHI WETU

KIONGOZI Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania,Dkt. Nabii Joshua Aram Mwantyala ametwaa asilimia 80 ya kura katika uchaguzi wa nafasi ya urais katika Umoja wa Manabii na Mitume nchini Tanzania (Unity of Apostles and Prophets Tanzania).

Ushindi huo umetokana na kura 179 alizopata huku akiwaacha mbali washindani wake akiwemo Mchungaji Ceasar Masisi aliyepata kura 42 na Mtume Joackim aliyepata kura nne kupitia uchaguzi uliofanyika katika Ukumbi wa Anatoglo uliopo Ilala, Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo, Askofu Profesa Rejoice Ndalima alimtangaza rasmi Dkt.Nabii Joshua Aram Mwantyala kuwa Rais wa Umoja wa Mitume na Manabii nchini Tanzania.

Aidha, mitume na manabii mbalimbali nchini walionesha imani kubwa juu ya Dkt. Nabii Joshua huku wakimpongeza na kuahidi kumpa ushirikiano mkubwa aweze kutekeleza jukumu lake la kuwaunganisha viongozi hao wa kiroho ili waweze kulihubiri neno la Mungu kwa ufanisi nchini.

Wakati huo huo akizungumza baada ya kutangazwa mshindi katika nafasi hiyo, Dkt. Nabii Joshua amesema kuwa, anakwenda kusimamia mambo makuu matatu ikiwemo kusimamia na kuhamasisha umoja kwa mitume na manabii.

“La kwanza, Bwana Yesu alitoa maelekezo siku chache kabla ya kuondoka kuhusu umoja, na matokeo ya umoja, tunaona kina Petro baada ya siku ile ya Pentekoste waliwainua viwete, kazi yangu itakuwa kuhakikisha ninasimamia na kuhamasisha umoja,kukesha na kuombea umoja wa mitume na manabii wa kanisa la Tanzania,”amesema Dkt.Nabiijoshua.

“Nina hakika katika umoja huo tutaenda mahali,tutasimama mahali aliposimama Petro alipomfuata Dorcas,”amesema.

Kiongozi huyo ambaye ni mzaliwa wa Mbeya akiwa amebatizwa kama Mpentekoste amesema ana zaidi ya miaka 20 katika wito akiwa ndiye kiongozi na mwanzilishi wa Huduma ya Haki Ministry makao makuu yakiwa mkoani Morogoro yenye matawi zaidi ya 200 nchini.

“Pili nitahakikisha umoja wetu unakuwa na faida kwa Taifa letu la Tanzania hasa katika kipindi hiki ambacho Taifa letu la Tanzania limempata Rais mwanamke, Mama yetu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan. Debora hakwenda peke yake, kwa hiyo sisi tutakwenda na Debora wetu Rais wetu Mheshimiwa Samia kumsaidia kazi

“La mwisho nitahakikisha ninasimamia mitume na manabii kuhakikisha tunarudi katika misingi ya wazee wetu. Kitabu cha Malaki, Biblia inasema nitageuza mioyo ya watoto wawaelekee baba zao. Nitahakikisha tunawaenzi wazee wetu wakiwemo Baraza la Wapentekoste kwa kazi kubwa waliyoifanya, kwa sababu sisi ni matunda ya kazi yao,”amesema Dkt.Nabiijoshua,

About the author

Alex Sonna