marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Featured Kitaifa

MTOTO ALIYEIBIWA WODINI BAADA YA KUZALIWA KITUO CHA AFYA LUNGUYA APATIKANA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (Kulia), kushoto ni picha ya mtoto mchanga
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga amelipongeza Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Msalala Mkoa wa Shinyanga na wananchi kwa kazi kubwa waliyoifanya kufanikiwa kupatikana kwa mtoto mchanga aliyeibiwa wodini katika Kituo cha Afya Lunguya halmashauri ya Msalala.
Akizungumza na Waandishi wa habari leo Ijumaa Februari 18,2022 Kiswaga ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Kahama amelishukuru Jeshi la Polisi Wilaya ya Kipolisi Msalala kwa kazi kubwa waliyoifanya hadi kuhakikisha mtoto huyo anapatikana akiwa na afya njema.
“Vilevile tunawashukuru wananchi wote walio shirikiana na Polisi kuwezesha taarifa muhimu za kupatikana kwa mtoto.Nawaomba waendelee kutoa ushirikiano kwa Polisi ili tuendelee kuiweka Wilaya yetu katika tulivu na yenye amani”,amesema Kiswaga.
Akielezea zaidi kuhusu tukio hilo ambalo limevuta hisia za watu wengi amesema mnamo tarehe 1/2/2022 majira ya saa 05:30 kwenye Kituo cha Afya Lunguya kilicho ndani ya Halmashauri ya Msalala mtoto mchanga wa kiume aliyekuwa na siku moja tu tangu kuzaliwa aliibwa akiwa kitandani.
“Mnamo tarehe 30/01/2022 majira ya saa 10:00 Mama wa mtoto huyo aitwaye Bertha Augustino (20) mkazi wa Ntambarare kata ya Segese akitokea Zahanati ya Segese na kupelekwa Kituo cha Afya Lunguya kwa Rufaa, alifanyiwa upasuaji na kujifungua mtoto huyo wa kiume na kubakia wodini kwa uangalizi zaidi wa kitabibu”,amesema Kiswaga.
“Mama huyo akiwa pale wodini kabla na baada ya kujifungua alionekana akipewa huduma zingine na mwanamke mmoja mnene, mweusi, mwenye macho ya makengeza ambaye wauguzi walipotaka kujua mwanamke huyo ana uhusiano gani na mzazi, Mama na Baba wa mtoto walieleza kuwa hawamfahamu.Ndipo ghafla siku hiyo ya tarehe 1/2/2022 majira ya saa 05:30 ilikuja kubainika mtoto huyo ameibwa na mwanamke aliyekuwa akimhudumia mama wa mtoto naye ametoweka”,ameeleza Kiswaga.
Amesema kufuatia tukio hilo, Jeshi la Polisi lilianza upelelezi wa tukio hilo mara moja ambako waliweza kufika Geita, Sengerema, Kasulu, Masumbwe na Kahama katika ufuatiliaji wao.
 
“Mnamo tarehe 16/2/2022 majira ya saa 23:30 usiku huko kijiji cha Kakumbi Kata ya Lubunga Wilaya ya Mbogwe Mkoa wa Geita askari wa Polisi Msalala walifanikiwa kumkamata mwanamke mmoja aitwaye Rehema Said (47) mkazi wa Lubunga akiwa amelala ndani mwake na mtoto mchanga wa kiume”,amesema.
“Ndugu wanahabari, baada ya kufikishwa Polisi Bugarama Wilaya ya Kipolisi Msalala, wazazi wa mtoto waliweza kumtambua mtoto wao na pia mwanamke huyo alitambuliwa kuwa ndiye aliyekuwa akimsaidia mama wa mtoto na kumuiba pale Kituo cha Afya Lunguya”,ameongeza Kiswaga.
Amesema Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara tu upelelezi wa kesi hii utakapokamilika.

About the author

Alex Sonna