Featured Kitaifa

DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU, ZANZIBAR

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari, 2025.         

About the author

Alex Sonna