marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

marsbahis giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

vbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

deneme bonusu

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

Featured Kitaifa

DKT.BITEKO AKAGUA KITUO CHA UMEME _URAMBO

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipokea maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ___ alipotembelea Kituo cha cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha msongo wa kilovoti 132/33 cha Uhuru – Urambo, Mei 2, 2025

*Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati*

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya umeme huku akisisitiza kuwa ni lazima Watanzania wapate huduma ya umeme.

“ Tunamshukuru Mhe. Rais ambaye anasema wananchi wapate umeme, Naomba nikuahidi Mhe. Rais mimi na wenzangu tutafanya kazi kwa kasi unayohitaji ili kuhakikisha wananchi wanapata umeme” amesema Dkt. Biteko.

Dkt. Biteko amesema hayo Mei 2, 2025 wilayani Urambo, mkoani Tabora mara baada ya kukikagua Kituo cha Kupokea, Kupoza na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 132/33.

Dkt. Biteko amelipongeza na kulishukuru Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kukamilisha mradi kwa ufanisi “ Mmefanya kazi kwa vitendo, nilikuja hapa mwaka jana mradi ukiwa asilimia 10, maajabu gani mmefanya mmemaliza kazi kwa wakati siwezi kujua. Nataka niwaambie naona fahari kuwa kiongozi wenu, napenda kufanya kazi na watu wenye kuleta matokeo nawashukuru mno,”

Vilevile, ameipongeza Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) kwa usimamizi mzuri wa Kituo hicho cha Urambo ambacho kimewashwa kwa siku 20 hadi sasa na kuongeza mapato ya TANESCO kwa asilimia 10.

Ameitaka Kampuni hiyo kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi na kusema kuwa wana fursa ya kupewa mradi mwingine kwa kuwa wamefanya kazi nzuri.

Amewahakikishia wananchi wa Urambo na Kaliua kuwa wataendelea kupata umeme wa uhakika na mradi huo unaifanya Tabora kuwa chanzo cha umeme katika mikoa ya Katavi na Kigoma.

Amesisitiza “ Mwisho wa mwezi huu wa tano tutazima jenereta Mpanda na kusaidia wao wapate umeme, watu wa Urambo nataka niwaambie kabla ya Kituo hiki kuwashwa makusanyo ya TANESCO yalikuwa milioni 323 pekee na baada ya kuwashwa Wilaya ya Urambo inaweza kuipatia TANESCO kwa mwaka shilingi bilioni 4.5 kiuchumi maana yake tumewekeza shilingi bilioni 44 na hiyo fedha itarudi ndani ya muda mfupi,”

Sambamba na hayo, Dkt. Biteko amempongeza Mbunge wa Urambo, Mhe. Margaret Sitta kwa mchango wake na ufuatiliaji wa ujenzi wa mradi wa Kituo hicho na kusema kuwa alijitoa kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya umeme.

Aidha, amesema sekta ya nishati imenufaika na mchango wake na kuielekeza TANESCO kupanda mti na kuupa ukumbi wa mikutano jina la Mbunge huyo ikiwa ni sehemu ya kuthamini na kuenzi mchango wake.

Pia, ameielekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupeleka umeme katika vitongoji huku Urambo ikipewa kipaumbele.

Akizungumzia Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, amewasihi Watanzania kushindana kwa hoja na sera, huku akiwaomba wamuunge mkono Rais Samia kwa nia yake thabiti ya kuwaletea maendeleo wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Urambo, Mhe. Margaret Sitta amemshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini.

Amesema kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 wamepata fedha zaidi ya shilingi bilioni 100 ambapo barabara imetumia shilingi bilioni 12, sekta ya elimu imetumia shilingi bilioni 25 pia wana shilingi bilioni 7 kwa ajili ya ujenzi wa matanki ya maji huku wakisubiri mradi wa maji kutoka Ziwa Viktoria.

Kuhusu umeme, Mhe. Sitta amesema awali wananchi walikuwa wakichanga fedha kwa ajili ya kununua jenereta lakini sasa wanaishukuru Serikali kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa umeme.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kufuatia maelekezo na usimamizi makini wa Dkt. Biteko sasa wananchi wanapata umeme wa uhakika.

“ Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu ni vyema ukafahamu kuwa tangu umeme huu ulivyowashwa haujawahi kuzimika hata mara moja na haya ni matokeo ya usimamizi wako na nina amini wananchi hawa wa Urambo leo wana haki ya kufurahia uwepo wako,” amesema Mhandisi Mramba.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), CPA Renata Ndege amesema mradi huo una km 135 kutoka Tabora hadi Urambo ambao unasaidia kuufungua Mkoa huo na mikoa jirani kwa fursa za kiuchumi na kijamii.

“ Mradi huu umekamilika na tumewasha umeme Machi 20, 2025, aidha mahitaji ya umeme kwa Mkoa wa Tabora ni wastani wa megawati 28 sawa na asilimia 32.7 ya uwezo wa vituo vyote ambayo ni megawati 85.5.” amesema Ndege.

Amebainisha “ Tunakuhakikishia kuwa wananchi wanapata umeme kama ambavyo umekuwa ukituelekeza na sasa umeme upo wa kutosha nchini.”

Msimamizi wa Mradi huo wa Kituo cha Kupokea, Kupoza na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovoti 132/33, Mhandisi Dalali Runyamila amesema kuwa kupitia mradi huo uliogharimu shilingi bilioni 44 ikiwa ni pamoja na fidia kwa wananchi unazalisha umeme wa ziada megawati 25 na hivyo wananchi wana umeme wa uhakika.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipokea maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ___ alipotembelea Kituo cha cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha msongo wa kilovoti 132/33 cha Uhuru – Urambo, Mei 2, 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akihutubia wananchi wa Kijiji cha Vumilia Wilaya ya Urambo mkoani Tabora alipotembelea Kituo cha cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha msongo wa kilovoti 132/33 cha Uhuru – Urambo, Mei 2, 2025


Sehemu ya Watumishi kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakifuatilia hotuba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko alipotembelea Kituo cha cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha msongo wa kilovoti 132/33 cha Uhuru – Urambo, mkoani Tabora Mei 2, 2025


Sehemu ya wananchi waliojitokeza kwenye katika ziara ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ya ukaguzi wa Kituo cha cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha msongo wa kilovoti 132/33 cha Uhuru – Urambo, Mei 2, 2025

About the author

Alex Sonna