slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

jojobet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

betist

betist

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

Featured Kitaifa

KIKAO CHA KUTATHIMINI MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA CHAFANYIKA JIJINI TANGA

Written by mzalendo


Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Imani Clemence akizungumza wakati wa kikao cha kutathimini na kujadili utendaji wa Programu ya Utekelezaji wa Mradi wa Afya Hatua iliyopo chini ya Shirika la THPS na kufadhiliwa na Pepfar CDC kilichofanyika Jijini Tanga na kuhusisha wadau mbalimbali Mkoani Tanga wa mapambano dhidi ya dawa za kulevya kutokana na mkoa huo kushika nafasi ya pili kwa watumiaji kitaifa.


Mkurugenzi Mshirika wa Huduma za Jamii –Huduma za Kinga (THPS) Dkt Appolinary Bukuku akizungumza katika kikao hicho





Afisa kutoka Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Kanda ya Kaskazini Sara Ndaba akizungumza jambo wakati wa kikao hicho






Na Oscar Assenga, TANGA.

KIKAO cha kutathimini na kujadili utendaji wa Programu ya Utekelezaji wa Mradi wa Afya Hatua iliyopo chini ya Shirika la THPS na kufadhiliwa na Pepfar CDC umefanyika leo Jijini Tanga na kuhusisha wadau mbalimbali Mkoani Tanga wa mapambano dhidi ya dawa za kulevya kutokana na mkoa huo kushika nafasi ya pili kwa watumiaji kitaifa.

Lengo kubwa la kuwaida wadau wa utoaji wa huduma za methadone kwa waraibu za Kulevya mkoani humo pia kilikuwa na lengo la kupitia na kujadili mafanikio ya utoaji wa methadone kwa waraibu na kujadili changamoto zinazoikabili huduma hiyo na kutengeneza mikakati ya kuboresha huduma kwenye mkoa huo.

Wadau wengine walioshiriki kwenye kikao hicho ni kutoka wizara ya Afya,wawakilishi wa Timu za wasimamizi za Afya ngazi ya mkoa na Halmashauri,Jeshi la Polisi,Asasi za Kiraia zinazowaibua waraibu wa dawa za kulevya na wadau wa THPS wanaoshirikiana na serikali katika kutoa huduma na kuziboresha katika kutoa mafunzo ya huduma za methanone ,wanasaidia vifaa mbalimbali vya kazi ,watumishi ,vikao ,wanajivunia mafanikio yaliyopo leo hii waraibu

Akizungumza wakati akifungua kikao hicho Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Imani Clemence alisema Serikali kushirikiana na wadau CDC kupitia THPS imeweka nguvu kubwa kuboresha huduma za waraibu kuhakikisha wanapata huduma bora ili afya za ziweze kuimarika na wafikie hali ambayo wanaweza kuisha maisha ya kawaida na kushiriki kujenga uchumi.

Alisema kwamba hadi kufikia Mwezi Mei 2023 Mkoa wa Tanga ulikuwa na waraibu 1094 ambao walishawahi kuanzishiwa Methadone na kati yao 683 ndio ambao bado wanaendela na dawa hao wengine wapo wapi wengine wahama na wengine wamefariki.

Alisema kwamba kwa kushirikiana na wadau CDC na Shirika la THPS wametoa mchango mkubwa na Serikali inatambua juhudi zao kwenye mapambano dhidi ya VVU na Ukimwi na huduma kwa waraibu .

“Tutaendelea kuwapa ushirikino katika miradi inayoendelea kutekelezwa mkoani Tanga sisi tupo tayari kuwapa ushirikiano wa kutosha wakati wote mtakapokuwa mkiitaji na niwashukuru wadau wote tushirikiana nao kwenye pambano dhidi ya dawa za kulevya”Alisema

Awali akizungumza Mkurugenzi Mshirika wa Huduma za Jamii –Huduma za Kinga (THPS) Dkt Appolinary Bukuku alisema wanajadili changamoto za huduma za waraibnu wao kama sehemu ya wadau ili waweze kuona namna ya kuzipatia ufumbuzi kwa jamii ya watanzania hasa huduma wanazozitoa za waraibu kwenye mkoa wa Tanga.

Alisema wamekusanyika na wadau mbalimbali hivyo kila mdau kuitwa ni muhimu kuchangia namna bora ya kuhakikisha huduma za waraibu walioathirika na dawa za kulevya zinakwenda vizuri na watapata watu wakaokwenda kufanya kazi kwenye jamii na kuchangia pato la taifa kama watanzania.

“tunatambua kuna watu wameingia huko na walikuwa na uwezo wa kufanya kazi kama sisi lakini kutokana na athari walizokutana nazo wameshindwa kufanya kazi na kutengwa na jamii huduma hizo zilikuwa zinatolewa na Serikali na wadau zitawasdia kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi na kuchangia pato la Taifa”Alisema

Hata alisema wamekutana wao kama wadau wakiwa na asasi za kijamii na watu wanaotoa huduma kwenye kliniki za MAT lengo likiwa kupata changamoto kutoka wa wanufaika wa huduma pamoja na kusikia changomoto kwa wale wanaowahudumia.

“Sisi sote kwa umoja wetu tuweze kutoa mchango wa kuboresha hasa zile Asasi ambazo zinawaibua,vyombo vya ulinzi ambavyo vinawachukulia kama wahalifu lakini tunatambua jamii imewatenga na kuwaona watu ambao hawafai na wao wanawajibu wa kutoa elimu kwa jamii ili wawahudumie kwa upendo ili warudi kwenye hali ya kawaida tunaishuku mamlaka wanajitahidi zao“Alisema

Naye kwa upande wake Afisa kutoka Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Kanda ya Kaskazini Sara Ndaba alisema kwamba wanaishukuru Shirika la la (THPS) kwa kuandaa kikao hicho cha wadau kwani wamekuwa wakiwasadia kukabiliana na tatizo la dawa za kulevya.

Alisema katika kikao hicho kimewakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa Dini,Jeshi la Polisi,Jeshi Magereza na Wizara ya afya wote wanapambana kwenye vita dhidi ya dawa za kulevya na mkoa umethirika na dawa za kulevya.

Hata hivyo alisema kwamba uwepo wao utasaidia kukabiliana na tatizo hilo na Tanga ikaondokana na tatizo la dawa za kulevya kwa maana hali bado so shwari kutokana na kwamba kituo cha Mat kinahudumia waraibu zaidi watu 1,113 mpaka sasa kutoka kwa Asasi za kiraia ambazo zimekuwa zikiwaibua na kuwapeleka kwenye kituo .

About the author

mzalendo