marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

bets10

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

ngsbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

bets10

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

casinoroyal

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

queenbet

queenbet

grandpashabet

marsbahis

matbet

jojobet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AONGOZA MATEMBEZI YA AMANI

Written by mzalendo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza Matembezi ya Amani, Maridhiano na Mama Samia Suluhu Hassan, kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, Disemba 2, 2023. Kulia kwake ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa  wa  Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Sheikh Alhad  Salum.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika mazoezi ya viungo baada ya kuongoza Matembezi ya Amani, Maridhiano na Mama Samia Suluhu Hassan, kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, Disemba 2, 2023. Kulia kwake ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Maridhiano na Aman Tanzania, Sheikh Alhad Salum.

Waziri Mkuu, Kiassim Majaliwa akizungumza baada ya kuongoza   Matembezi ya Amani, Maridhiano na Mama Samia Suluhu Hassan, kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha Tuzo ya heshima aliyopewa   baada ya kuongoza   Matembezi ya Amani, Maridhiano na Mama Samia Suluhu Hassan, kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, Disemba 2, 2023. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na Mkuu wa wilaya ya Ilala  Edward Mpogolo na wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Sheikh Alhad Salum. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

…..

*Ampongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha demokrasia

*Ahimiza wanaume wakapime VVU, wasitegemee matokeo ya wenza wao

 

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza matembezi ya amani, maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan na kuwataka viongozi wa dini waendelee kusisitiza amani miongoni mwa waumini wao.

“Viongozi wa madhehebu ya dini endeleeni kuwahimiza waumini wenu kulinda amani ya nchi yetu. Wafahamisheni waumini athari za kutozingatia thamani ya amani tuliyonayo huku mkisisitiza wajibu wa kila mmoja kuhakikisha amani inadumishwa hapa nchini,” amesema.

Ametoa wito huo leo (Jumamosi, Desemba 2, 2023) wakati akizungumza na washiriki na wadau mbalimbali kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, mara baada ya kushiriki matembezi hayo kwa km. 5 ambayo yameratibiwa na Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT). 

Pia amewataka viongozi wa dini, washirikiane na Serikali katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi na gesi asilia ili kuinusuru nchi na athari za mabadiliko ya tabianchi.  

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwaomba viongozi wa dini wawaeleze waumini wao kwamba licha ya mafanikio ambayo Serikali imeyapata kwenye mapambano dhidi ya VVU, wanapaswa watambue kuwa UKIMWI bado upo. 

“UKIMWI bado upo, ninawaomba suala hili lipewe kipaumbele wakati wa mahubiri, hotuba na mihadhara. Endeleeni kuwakumbusha waumini kuhusu umuhimu wa kubadili tabia hususan zile zinazochangia maambukizi.”

“Jana ilikuwa ni maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani. Kwenye tathmini yetu, malengo ya 95-95-95 yamefanikiwa kwa maana ya 95 ya kwanza imeongezeka kwa sababu watu wengi wamejitokeza kupima. Hii inahamasisha upimaji na watu wanaojitokeza ni wengi lakini wanaopima sana ni wanawake. Wanaume hamuendi kupima.” 

“Wanaume jitokezeni mkapime, msitegemee matokeo ya wake zenu. Mimi ndiye Balozi wa kuhamasisha wanaume kupima virusi vya UKIMWI, kwa hiyo msiniaibishe. Kuanzia leo, nendeni kwenye vituo vyetu mkapime VVU.”

Kuhusu 95 ya pili, Waziri Mkuu amesema hii imefanikiwa kwani waliopima na kugundulika wanatumia dawa kama inavyoshauriwa na 95 ya tatu imefanikiwa kwani wanaotumia dawa, kwa asilimia kubwa wamefanikiwa kufubaza virusi hivyo.

Amewataka viongozi hao wawaangalie zaidi vijana kwani ni kundi lililo kwenye hatari zaidi. “Kwa kuwa kundi la vijana liko katika hatari zaidi ya kupata maambukizi, ninawasihi sana imarisheni huduma za unasihi na malezi yenye mlengo wa kustahimili mabadiliko yanayotokana na utandawazi. Ninayo imani kuwa, kwa nafasi zenu ndani ya jamii, vijana watawasikia, watawatii na kubadilika.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuleta mtangamano na kukuza demokrasia. Kaulimbiu ya matembezi hayo ni: “Dumisha Amani, Maridhiano, Upendo na Udugu wa Kibinadamu.”

“Kipekee ninampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kunakuwepo na mtangamano wa kisiasa nchini unaojumuisha siasa safi, za kiustaarabu na zinazoheshimu mawazo ya kila mmoja wetu. Kutokana na maono na jitihada zake, hali ya siasa nchini ni tulivu na vyama vya siasa vinaendelea kutekeleza majukumu yao ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo mbalimbali nchini.”

Mapema, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Askofu Israel ole Gabriel Maasa alisema jumuiya hiyo ina matawi kwenye mikoa yote 26 ya Tanzania Bara na kwenye wilaya zake. 

Akielezea mambo waliyofanikiwa kuyafanya hadi sasa, Askofu Maasa alisema: “Tumeongoza zoezi la uchangiaji damu katika baadhi ya hospitali nchini, tumefanya zoezi la upandaji miti, tumeshirikiana na Serikali kupinga unyanyasaji kwa watoto na wanawake, tumepinga ukatili dhidi ya wanaume na kuongoza mafunzo ya uraia kwa wananchi ili waipende na kuijali nchi yao.”

Akitoa salamu kwa niaba ya Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Ally Khamisi Ngeruko alisema: “Mufti na Sheikh Mkuu Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally anasema Tanzania imejaa amani lakini Watanzania wanajipangaje kutumia fursa mbalimbali kwa kutumia amani tuliyonayo.”

About the author

mzalendo