Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

gameofbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark güncel giriş

porno izle

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

pashagamingg

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat güncel giriş

jojobet

holiganbet

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

bets10 sorunsuz giriş

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

imajbet

holiganbet

Featured Kitaifa

WAJASIRIAMALI MILIONI 8.6 WANUFAIKA NA MIKOPO YENYE THAMANI YA SH.TRILIONI 6.1

Written by Alex Sonna

 

Katibu Mtendaji wa Baraza laTaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bi.Beng’i Issa,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 14,2023 jijini Dodoma kuhusu mafanikio ya masuala ya uwezeshaji Tanzania na vipaumbele kwa mwaka 2023/24.

Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya habari-MAELEZO Bw.Gerson Msigwa,akizungumza mara baada ya Katibu Mtendaji wa Baraza laTaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bi.Beng’i Issa,kutoa taarifa  kuhusu mafanikio ya masuala ya uwezeshaji Tanzania na vipaumbele kwa mwaka 2023/24.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAJASIRIAMALI milioni 8.6 wamenufaika na mikopo yenye thamani ya Sh.Trilioni 6.1 kupitia mifuko inayoratibiwa na Baraza laTaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kwa mwaka 2022/23.

Hayo yamesemwa leo Agosti 14,2023 jijini Dodoma na Katibu Mtendaji wa Baraza laTaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bi.Beng’i Issa,wakati akizungumzana waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya masuala ya uwezeshaji Tanzania na vipaumbele kwa mwaka 2023/24.

Amesema kuwa  baraza linaratibu mifuko 72 ambayo ipo inayotoa mikopo ya moja kwa moja, dhamana, ruzuku pamoja na programu za uwezeshaji.

“Hadi Machi, 2023, hii imeweza kutoa mikopo yenye thamani ya Sh.Trilioni 6.1 kwa wajasiriamali 8,650,257 wakiwamo wanawake 4,747,321 na wanaume 3,902,936,”amesema Bi.Beng’i

Hata hivyo amesema kuwa  mifuko na programu hizo zimetengeneza ajira 17,603,271 ambapo ajira kwa wanawake zilikuwa 9,248,916 (52.5%) na ajira kwa wanaume ni 8,354,355 (47.5%).

Aidha,amesema hadi kufikia Juni 2023 ajira 145,245 zimezalishwa kwa watanzania kwenye miradi ya kimkakati na uwekezaji (Local Content).

 Bi.Beng’i amesema  baraza linaratibu masuala ya ajira hiyo katika sekta za kipaumbele kama uziduaji (mafuta na gesi), kilimo, ujenzi, viwanda, utalii na sekta mtambuka.

“Hadi kufikia mwezi Juni 2023, jumla ya ajira 145,245 zimezalishwa kwa watanzania kupitia miradi hii ambapo wanawake 29,049 (20%) wamenufaika na wanaume 116,196 (80%) wamenufaika,” amesema Bi.Beng’i

Aidha amesema kuwa  kampuni za kitanzania zaid ya 1,700 zimenufaika kwa kupata kazi mbalimbali katika miradi hiyo.

Akizungumzia kuhusu Mpango wa Kuendeleza Viwanda Vidogo na vya Kati (SANVN Viwanda Scheme) unaolenga kutoa fursa kwa watanzania kupata mikopo yenye riba nafuu kwa ajili ya kuanzisha na kuendeleza Viwanda hususan vilivyochakata mazao ya kilimo na Mifugo, amesema hadi kufikia Juni 2023 Mpango huo umewezesha mikopo ya Sh. Bilioni 3.83 kwa miradi 65.

Hata hivyo amesema  miradi hiyo ilifanyika katika mikoa 13 ambayo ni Mwanza, Arusha Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mbeya, Geita, Dodoma, Shinyanga, Iringa, Njombe, Singida, Pwani na Rukwa.

Pia amesema kuwa  hadi Machi, 2023 vituo vya uwezeshaji 18 vimeanzishwa katika mikoa ya Shinyanga, Geita, Singida, Rukwa, Kigoma na Dodoma.

 Bi.Beng’i amesema kuwa vituo viwil kweye Morogoro na Pwani viko kwenye hatua za kuongeza huduma wezeshi na kuweza kuwa vituo vya uwezeshaji kamili.

“Vituo hivi vimeweza kutoa mikopo yenye thamani ya sh. bilioni 9.4 kwa wajasiriamali 4,017. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2022/23, Serikali ilitenga fedha za kuweza

kukarabati vituo katika Halmashauri tatu ambapo Nyang’wale imepewa Sh. Milioni 247, Mlele Sh. Milioni 69,8 na Mbinga Sh. Milioni 123.4.

Kwa upande wake Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya habari-MAELEZO Bw.Gerson Msigwa amewataka watanzania kujiepusha na mikopo inayoumiza na utapeli unaofanyika mitandaoni kuhusiana na mikopo hiyo.

”Watanzania nawaomba mjiepushe na mikopo umiza inayofanyika mitandao watu wanatumia utapeli kwa kutumia majina ya watu hali ambayo inasababisha watu kujikuta wanaingia kwenye mikopo ya kutepeliwa hivyo fateni taratibu za mikopo kupitia baraza hili”amesema Msigwa

About the author

Alex Sonna