marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

marsbahis

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

wbahis

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

grandpashabet

marsbahis

restbet

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet

kulisbet, kulisbet giriş

betkare, betkare giris

betparibu

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

onlybet giriş

betebet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

Gamdom

grandpashabet giriş

egebet

betsmove

mavibet

egebet

betsmove

tophillbet

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet giriş

Deneme Bonusu

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

sweet bonanza

jojobet güncel giriş

yakabet

marsbahis

vdcasino

aviator

bets10

bets10 giriş

jupiterbahis

sweet bonanza oyna

Featured Kitaifa

WAZIRI MHAGAMA AMPA SIKU MOJA MTENDAJI WA KIJIJI CHA BUKULU WILAYANI KONDOA KUHAKIKISHA MLENGWA WA TASAF ANAPATA RUZUKU

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na walengwa wa TASAF na wananchi wa Kijiji cha Bukulu wilayani Kondoa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Wilayani humo.

Walengwa wa TASAF na wananchi wa Kijiji cha Bukulu wilayani Kondoa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Wilayani humo.

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Dkt. Hamis Mkanachi akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama kuzungumza na walengwa wa TASAF na wananchi wa Kijiji cha Bukulu wilayani humo wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Wilayani humo.

Mlengwa wa TASAF Kijiji cha Bukulu, Bw. Laurent Chebu akiwasilisha hoja yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama wakati akizungumza na walengwa wa TASAF na wananchi wa Kijiji cha Bukulu wilayani Kondoa wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Wilayani humo.

Mlengwa wa TASAF wa Kijiji cha Bukulu wilayani Kondoa, Bi. Rukia Kasi akieleza namna TASAF ilivyomuwezesha kuboresha maisha yake.

Mlengwa wa TASAF wa Kijiji cha Bukulu wilayani Kondoa, Bw. Abdilahi Ally akieleza namna TASAF ilivyomuwezesha kuboresha maisha yake.

…………………………………

Na. James K. Mwanamyoto-Kondoa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama (Mb) ametoa siku moja kwa Mtendaji wa Kijiji cha Bukulu katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa kuhakikisha mlengwa wa TASAF kijijini humo, Bw. Laurent Chebu anapewa ruzuku yake na kumpatia taarifa ya utekelezaji wa agizo hilo. 

Mhe. Jenista ametoa maelekezo hayo wakati akizungumza na walengwa wa TASAF na wananchi wa Kijiji cha Bukulu wilayani Kondoa akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wilayani humo.

Mhe. Jenista amesema akiwa katika ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya TASAF hupenda kusikiliza shuhuda za walengwa pamoja na changamoto zinazowakabili, hivyo baada ya kusikia changamoto ya Bw. Laurent Chibu kutopata ruzuku ameamua kutoa maelekezo kwa Mtendaji wa Kijiji ili mlengwa huyo apate haki yake.

“Mtendaji nimekuuliza hapa na umekiri kwamba Bw. Laurent Kibu hajapata ruzuku yake kwasababu yeye na mwenzeke walikuwa safarini, hivyo nikupa muda wa kushughulikia suala hili mpaka kesho jioni na unipigie simu wewe mwenyewe kunieleza kuwa mlengwa huyu ameshapewa na wengine ambao bado wapewe ruzuku zao”, Mhe. Jenista amesisitiza.

Waziri Jenista amewataka watendaji na waratibu wa TASAF kote nchini kuhakikisha fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya walengwa wa TASAF zinawafikia walengwa kwa wakati, kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ilivyokusudia.

Katika kuhakikisha ruzuku inawafikia walengwa kwa wakati, Mhe. Jenista amewataka walengwa wa TASAF kujisajili kwenye mfumo wa kidigitali wa simu ili waweze kuhawilishiwa ruzuku zao kupitia mitandao ya simu, na hatimaye kuondokana na changamoto ya kutopokea ruzuku zao kwa wakati.

“Watendaji na waratibu wa TASAF nisingependa kusikia mlengwa wa TASAF hajapewa ruzuku yake, iwe kwasababu ya kutokuwepo wakati wa dirisha au sababu nyingine yoyote ile kwani lengo la TASAF ni kuwawezesha walengwa kuboresha maisha yao”, Mhe. Jenista amefafanua.

Akieleza namna TASAF ilivyoboresha maisha yake, mlengwa wa TASAF wa Kijiji cha Bukulu, Bi. Rukia Kasi amesema ruzuku aliyoipata imemuwezesha kununua mbuzi na kuku wa kufuga, kusomesha watoto pamoja na kukarabati nyumba anayoishi na mme wake ambaye ni mlemavu wa macho. 

Mlengwa mwingine wa TASAF wa Kijiji cha Bukulu, Bi. Mwanaidi Dohu amesema kuwa TASAF imemuwezesha kununua ng’ombe, kujenga nyumba ya kuishi, kuchimba kisima cha maji na kujishughulisha na kilimo cha migomba.

Naye, Bw. Abdilahi Ally ambaye ni mlengwa wa TASAF Kijiji cha Bukulu amesema licha ya ulemavu wake TASAF imemuwezesha kusomesha watoto wanne waliohitimu kidato cha nne na mmoja amemaliza kidato cha sita hivyo anaishukuru Serikali kupitia TASAF kwa kumuwezesha kumudu gharama za kuwasomesha watoto wake.

Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika mwaka wa fedha 2021/2022 imetoa kiasi cha shilingi bilioni 2.6 katika Wilaya ya Kondoa kwa ajili ya kutekeleza Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini wilayani humo.

About the author

Alex Sonna