Featured Kimataifa

RAIS SAMIA ATETA NA KIONGOZI MKUU WA TAIFA LA OMAN SULTAN HAITHAM BIN TARIQ AL SAID,MUSCAT NCHINI OMAN

Written by mzalendoeditor

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Kiongozi Mkuu wa Taifa la Oman Sultan Haitham bin Tariq Al Said mara baada kuwasili Al Alam Muscat kwa ajili ya mazungumzo yaliyofanyika tarehe 13 Juni, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mwenyeji wake Kiongozi Mkuu wa Taifa la Oman Sultan Haitham bin Tariq Al Said kwenye Kasri ya Al Alam Muscat nchini humo tarehe 13 Juni, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Kiongozi Mkuu wa Taifa la Oman Sultan Haitham bin Tariq Al Said mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Al Alam Muscat nchini humo tarehe 13 Juni, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitembelea na kuangalia shughuli mbalimbali za Utamaduni, pamoja na historia ya Oman katika Makumbusho ya Taifa hilo yaliyopo Muscat nchini humo tarehe 13 Juni, 2022.

About the author

mzalendoeditor